UKIWA WEWE NI HAKIMU UTAFANYAJE JUU YA WATU HAWA WAWILI

UKIWA WEWE NI HAKIMU UTAFANYAJE JUU YA WATU HAWA WAWILI

Joined
May 21, 2015
Posts
11
Reaction score
2
ukiwa wewe ni hakimu hivi kunatofauti gani kati ya wauwaji hawa wawili mwingizaji gia kwa mkono{mpiga punyeto} na mtoaji mimba KAZI KWAKO HAKIMU
 
mtoa mimba hapo
Anafaaa kwa adhabu kali

Mpiga nyeto anastarehe
Maana anakua anatoa
Uchafuu
 
Mpiga punyeto hana kosa yale manii tu bado kiumbe hakijaumbwa. Mtoa mimba katili anaua kiumbe kamili chenye damu hukumu yake itakua kali.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kwani kupiga nyeto sio dhambi..?
Dhambi ni uasi wa Sheria za Mungu.

Kuna Usiibe, usiue, usizini n.k.

Hakuna sehemu inayosema usipige punyeto.
Alafu manii ni mbegu sio kiumbe mkuu.

Ndio maana mkulima huweza kula hata mbegu lakini athari yake ni kuwa anaweza kupatwa na njaa Kama hakuwa na mbegu za kutosha
 
Muda mwingine muwe mnaangalia na nyuzi za kuanzisha.
 
Back
Top Bottom