Ukiwekwa Chini ya Ulinzi Yajue Yafuatayo

Sidhani kama mwandishi analenga Tanzania ninayoijua mimi
 
........niko mikononi mwa polisi, afande!!!!!!! maisha yangu bado ni mikosi, afande!!!! ===mtoto wa shule alikula kichapo hadi mauti==
 
Wana jf, Kumekuwa na ukamatwaji wa watu na kupelekwa kusikojulikana. Hii in kwa sababu watanzania tulio wengi,

1. Tunaheshimu Polisi na serikali.
2. Tunatii sheria bila shuruti.
3. Hatujui sheria ya kukamatwa.
Hii in kasumba ya siku nyingi tuliyonayo na ndiyo inatugharimu watu wetu.
Sasa nakuomba usikubali ukamatwa kama.,
1. Hayupo m/kiti wa mtaa au Kitongoji.
2. Mkamataji hajajitambulisha kwa kutoa kitambulisho cha kazi yake.
3. Akuoneshe kibali cha kukukamata chenye mhuri, tarehe ,kituo kilipotewa na sahihi ya Mkuu wake was Nazi.
4. Akuambie anakupeleka kituo gani.

Kama vitu hapo juu havipo, Huyo in mtekaji na mharifu sawa na Al shaabab.
Kubali kufia hapohapo ulipo maana hata ukikubali kuondoka naye kwa woga wako utaenda kufa tu.
Serikali inatengenezea watu wake kiburi cha kutotii.
 

23. Piga naye selfie ipost kabla hajakuteka [emoji28]



Asante baba mchungaji Gwajima kwa ushauri [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama hizi sheria zipo Bongo sidhani kama askari wetu wanazijua.
 
Daa tatizo saa nyingine hivyo vyote vinavunjiliwa mbali na bado mtuhumiwa ukakosa pa kwenda, wa kukusikiliza na kukutetea.
 
Ukishapigwa tanganyika jeki unasahau yote hayo.tuambiwe na namna yaku file complaints za police malpractice tunafanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…