Ukiyaelewa maandiko haya vyema, hutaishi tena kwa mateso na unyonge

Ukiyaelewa maandiko haya vyema, hutaishi tena kwa mateso na unyonge

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Prof. Suleiman Daudi alikuwa genius sana. Aliweza kugundua vitu vya deep sana.
Ukigundua alichokuwa anamaanisha Professor Solomon hapa utapunguza 50% -75% ya changamoto zako.
Screenshot_20240810-123153.jpg
 
Unexpected and unpredictable circumstances are a part of life and often interrupt the predictable flow of events.
 
amekosea kidogo,

wakati na bahati havimpati kila mtu

wapo wasiotimiza malengo
Yupo sahihi,kuwa na bahati sio mpaka utimize malengo yote uliyojiwekea.Kwa mfano kama malengo yako ni kusoma hadi chuo kikuu halafu ikatokea umeishia form 4 hiyo ni bahati pia sababu kuna wengi wameshindwa kufikia level hiyo.
Ukiokota buku njiani ni bahati pia maana kuna watu wengi wamepita hapo bila kuiona.
 
Back
Top Bottom