Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mungu amekosea tena mkuu?amekosea kidogo,
wakati na bahati havimpati kila mtu
wapo wasiotimiza malengo
That man was a truely RASTAFARIProf. Suleiman Daudi alikuwa genius sana. Aliweza kugundua vitu vya deep sana.
Ukigundua alichokuwa anamaanisha Professor Solomon hapa utapunguza 50% -75% ya changamoto zako.
View attachment 3066055
Yupo sahihi,kuwa na bahati sio mpaka utimize malengo yote uliyojiwekea.Kwa mfano kama malengo yako ni kusoma hadi chuo kikuu halafu ikatokea umeishia form 4 hiyo ni bahati pia sababu kuna wengi wameshindwa kufikia level hiyo.amekosea kidogo,
wakati na bahati havimpati kila mtu
wapo wasiotimiza malengo