sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,053
- 1,304
Mkuu ningekuwa tapeli nisingetaka nionane na muhusika, then ndio mana nimesema awe dsm ili iwe rahisi kuonana na kuzungumza kama unataka kujua ni pm nitakuambia lakini sitoweka hapa hiyo business sorryKama kweli wewe sio tapeli na umefanya "utafiti" kwanini usiweke ripoti yako hapa tuisome wote hata na wale wasio na mitaji ili wakipata waendelee na business moja kwa moja wasikusumbue PM?
Mindimukanga nang'olo[emoji1] [emoji1] jina lako linaendana na hiyo lughaKama kweli wewe sio tapeli na umefanya "utafiti" kwanini usiweke ripoti yako hapa tuisome wote hata na wale wasio na mitaji ili wakipata waendelee na business moja kwa moja wasikusumbue PM?
Unaweza kutueleza kwa kufuata dondoo hizi:
*problem statement (Tatizo unalotatua)
*methodology (Namna ulivyo tafiti)
*Results (Matokeo)
*Recommendation (Mapendekezo yako)
Karibu uwanja ni wako
???Mkuu ningekuwa tapeli nisingetaka nionane na muhusika, then ndio mana nimesema awe dsm ili iwe rahisi kuonana na kuzungumza kama unataka kujua ni pm nitakuambia lakini sitoweka hapa hiyo business sorry
Kama kweli wewe sio tapeli na umefanya "utafiti" kwanini usiweke ripoti yako hapa tuisome wote hata na wale wasio na mitaji ili wakipata waendelee na business moja kwa moja wasikusumbue PM?
Unaweza kutueleza kwa kufuata dondoo hizi:
*problem statement (Tatizo unalotatua)
*methodology (Namna ulivyo tafiti)
*Results (Matokeo)
*Recommendation (Mapendekezo yako)
Karibu uwanja ni wako
Nshakushtukia, haibiwi mtu!Mindimukanga nang'olo[emoji1] [emoji1] jina lako linaendana na hiyo lugha
Tatizo nalotatua ni kupata mtaji utakaotosha kuanza biashara husikaKama kweli wewe sio tapeli na umefanya "utafiti" kwanini usiweke ripoti yako hapa tuisome wote hata na wale wasio na mitaji ili wakipata waendelee na business moja kwa moja wasikusumbue PM?
Unaweza kutueleza kwa kufuata dondoo hizi:
*problem statement (Tatizo unalotatua)
*methodology (Namna ulivyo tafiti)
*Results (Matokeo)
*Recommendation (Mapendekezo yako)
Karibu uwanja ni wako
Ahsante mkuu kila mtu anaogopa kuibiwa, na kuiba pesa iliyotolewa jasho na mwenzako c mchezoNshakushtukia, haibiwi mtu!
Japo haujaiweka vzur sana. Ila inaonesha kweli unayo idea. Poa, uwe unachungulia PM basTatizo nalotatua ni kupata mtaji utakaotosha kuanza biashara husika
Utafiti niliofanya bidhaa husika inachukuliwa mkoan kwa gharama ya tsh @15000, + usafir 40000 kwenda na kurud + guest 10000 per day + chakula 10000 per day
Bidhaa tunauza ilala mabatini kwa @40000 hadi 50000 pia kama partner atakuwa na mda tutaenda wote
Sawa mkuu karibuJapo haujaiweka vzur sana. Ila inaonesha kweli unayo idea. Poa, uwe unachungulia PM bas
Mkuu Nipigie 0767108343 tuyajengeTatizo nalotatua ni kupata mtaji utakaotosha kuanza biashara husika
Utafiti niliofanya bidhaa husika inachukuliwa mkoan kwa gharama ya tunaanza na pcs 50 tsh @15000, + usafir 40000 kwenda na kurud + guest 10000 per day + chakula 10000 per day
Bidhaa tunauza ilala mabatini kwa @40000 hadi 50000 pia kama partner atakuwa na mda tutaenda wote mkoani kuchukua mzigo
Karibu kwa kitu kingine unachotaka kujua
Kaka nibip nitakupigia tuongee 0652729239Habari
Kama unapesa na hujui ufanye biashara gani au uko busy sana lakini unamtaji na upo dsm naomba ni pm, biashara nishaifanyia utafiti, pm nikueleze aina ya biashara kama utakuwa tayari tukutane tuyajenge, uwe na mtaji kuanzia 800,000
Nb
Uwe mkazi wa dsm ili tuonane na tuyajenge (tufahamiane)
Mh isije kuwa pcs za bangeTatizo nalotatua ni kupata mtaji utakaotosha kuanza biashara husika
Utafiti niliofanya bidhaa husika inachukuliwa mkoan kwa gharama ya tunaanza na pcs 50 tsh @15000, + usafir 40000 kwenda na kurud + guest 10000 per day + chakula 10000 per day
Bidhaa tunauza ilala mabatini kwa @40000 hadi 50000 pia kama partner atakuwa na mda tutaenda wote mkoani kuchukua mzigo
Karibu kwa kitu kingine unachotaka kujua
Mbona unaniwazia mabaya ndugu huo uzi ni wa lini,Kuna mtu unamchekecha ili umpige wajinga awapo
Mh mpk uweke na kianzio NA wakt Hujui life LA mtu likojeHabari
Kama unapesa na hujui ufanye biashara gani au uko busy sana lakini unamtaji na upo dsm naomba ni pm, biashara nishaifanyia utafiti, pm nikueleze aina ya biashara kama utakuwa tayari tukutane tuyajenge, uwe na mtaji kuanzia 800,000
Nb
Uwe mkazi wa dsm ili tuonane na tuyajenge (tufahamiane)
Hahahaana sio mkabaji.... HuyuKama kweli wewe sio tapeli na umefanya "utafiti" kwanini usiweke ripoti yako hapa tuisome wote hata na wale wasio na mitaji ili wakipata waendelee na business moja kwa moja wasikusumbue PM?
Unaweza kutueleza kwa kufuata dondoo hizi:
*problem statement (Tatizo unalotatua)
*methodology (Namna ulivyo tafiti)
*Results (Matokeo)
*Recommendation (Mapendekezo yako)
Karibu uwanja ni wako