Huu ni muziki ambao ulitakiwa usikike miaka michache uliyopita lakini tatizo mwenye bendi hakutaka usikike, lakini sasa kutokana na kutokana na bendi mpya kuanzishwa kabla hawajarekodi kibao chao kipya tunataka tuone bendi ya zamani mziki wake ulikuwaje. Msiwe na wasiwasi mwenye CD hiyo atawawekea hapa kesho usiku wa manane kwenye ambao mko mabundi kama mimi mnaweza kujikuta mnaiona usiku usiku na wale wengine ambao hulala wasiwe na shaka wakiamka watakuta mziki unastream live!
I'm tapping my toeas to the beat!