USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
CDC italeta Afrika dozi milioni 10 ya MPOX na kupelekea moja kwa moja nchini Congo (DR) huku mipaka ya Tanzania ikianza ukaguzi kwa mujibu wa waziri wa afya mhagama .
Iwapo Marekani itaongeza dozi ni kuwa italazimika kuchanja kabla ya kuvuka mipaka , ugonjwa wa MPOX ni mpya sana kwa baadhi ya nchi za Afrika ikiwemo Tanzania hivyo italazimika kuchanja ili kuvuka boda au la .
Ugonjwa huu unauwa kwa 10% au chini ya hapo kwa wale ambao hawajachanja na kuharibika mvuto wa ngozi
USSR
Iwapo Marekani itaongeza dozi ni kuwa italazimika kuchanja kabla ya kuvuka mipaka , ugonjwa wa MPOX ni mpya sana kwa baadhi ya nchi za Afrika ikiwemo Tanzania hivyo italazimika kuchanja ili kuvuka boda au la .
Ugonjwa huu unauwa kwa 10% au chini ya hapo kwa wale ambao hawajachanja na kuharibika mvuto wa ngozi
USSR