Uko wapi Darlia Shayo!

Status
Not open for further replies.

Unaelekea uko obsessed na age; what is the big deal?!
Ubaguzi na unyanyapaa huo hautakiwi; we ukimuita jamaa kijeba kwa kuwa yuko 35+, kumbuka wale ambao wako 15 pia wanakuona we kijeba pamoja na 21 years zako!
Eti count down kuelekea forty, mara ajuza! Wazee wa 65+ wanatesa vile vile kuliko 25 year olds!
Na lastly, kama jamaa yuko 40 he should be thankful; wewe hujui kama utaonja 30! Au unajua?
Good luck, nb: tuwaheshimu wakubwa.
 
Mods!

Please funga hii thread, Masa ameshapata habari za huyo Darlia.

Shukrani.
 
Mods!

Please funga hii thread, Masa ameshapata habari za huyo Darlia.

Shukrani.

Nimekusoma my sweet bellies....MODS do the necessary tumempata family friend wetu Daria na familia yake! Thanks to all Including Uwiano
 


...Masanilo!! This thing about 'sipping the most delicious wine. Now if I hear a former male coleague of my One and Only saying he wants to know her wereabouts because...its like sipping the most delicious wine which he wants it to last forever...Somebody better hire Ultimate Security to guard his front teeth!!! πŸ˜€ πŸ˜€
 

Hahah BabaDesi nimecheka sana sana !! hahahah haya mzee wangu nimekusoma! hahah ngoja nitafute Ultimate Security to guard in case of fire!

Week end njema,
 

Masa,

Umesahau pia kwamba Darlia alikuwa Miss B-Coy kwa Afande Doma na Remsey (Chaurembo). Nimefurahi sana kuwasikia vijana wa Operesheni Vyama Vingi!!! Kama umempata basi nitumie PM unipe updates!!
 
Masa,

Umesahau pia kwamba Darlia alikuwa Miss B-Coy kwa Afande Doma na Remsey (Chaurembo). Nimefurahi sana kuwasikia vijana wa Operesheni Vyama Vingi!!! Kama umempata basi nitumie PM unipe updates!!

Dark City

Jamaa wewe nadhani tulikuwa intake moja! Sawa kabisa tulikuwa naye B coy!na hao maafande.... Mazee unataka updates za nini yakhe?...si unajua kisicho halal ni haramu!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…