Mbona kama ume loose popularity hatuon habar zake front za magazet au kwenye taarifa za habar za radio na tv bila shaka ukiwauliza wengi wanaweza wasijue uko mkoa gan na unazimwa lini na wapMkuu hauko Tanganyika?
Juzi nimeushuhudia mwenge ukipita na watu wamejipanga kuupokea barabarani.