Uko wapi utamu wa mke wa mtu? Jamaa nimemshauri hataki kuacha

Gharama yako kulipia loji tu, kula anakula kwake na anakuja ameshashiba.
 
Wahuni walipelekeana moto 😹😹😹😹😹 nimecheka kiquma yan
 
Gharama yako kulipia loji tu, kula anakula kwake na anakuja ameshashiba.

Na chakula anakuja nacho kwnye hot pot.

Tena utamu wa Mke wa mtu ni pale anapokupa sifa ambazo mumewe hana.

-- Mume wangu kibamia
-- hawezi mambo.
-- hajipendi ,,,yaani ananuka jasho.
-- dk 2 kamwaga.

Hakika wewe ndy mwanaume kamili,,

Kwa sifa hizo unazopewa na mke wa mtu ndy hapo unapoona utamu wa penzi lake.

Sometimes hata pesa unapewa..

Kuna mwanamke Mmoja wa mtu nilikuwa nampiga wheelbarrow,,

Alichanganyikiwa hata akakopa vikoba 2 millions akanipa..
 
Hahahahah mzee ulimpigia lemba nini? Huyo kweli alikupenda na hapo ndipo anapoku expose maana mumewe atajua tu mabadiliko yake kitabia😸
 
Ungemuuliza tu jamaa utamu anaupatia wapi nadhani angekua na jibu sahihi

Ila nyie wake za watu huwa wanatamisha sana hata sijui kwa nini, muda mwingine mpaka unatamani kuoa kabisa
 
Maisha ni kusaidiana....kuolewa au kuoa haimanishi huwezi kuwa na kipozeo pembeni... Wacha mwenzako afaidi maana huko hakuna gharama zaidi ya mbwembwe zako za kumpiku jamaa kitandani.
 
Kuna muda unaweza ona mtu anakushauri vizuri, kumbe there is motive behind
 
Kwamba ndugu yako anafadi uchumi wa kati wa nke wa mutu.
Mwache aendelee kufaidi uchumi wa kati bana
 
Daaah
 
123456
 
Ili ugundue kwamba unachapiwa ni lazima mojawapo kati ya mambo haya yatokee;
1. Mtu aje akuambie
2. Mkeo afanye mistake
3. Uhisi kwamba unachapiwa, uanze kuchunguza.
Kinyume na hapo unaweza usijue kamwe kama kuna kitu kinaendelea
Video na picha zake za uchi ninazo

Ila ujasiri tu wa kuzituma ndo bado sijapata
 
mwambie aanze kutembea na KY, akikosa walau Vaseline will do
 
Nina kisa kilichotokea mm mwenyewe juu ya haya mambo. Hakika kimeniachia mfadhaiko mkubwa sana kwenye moyo wangu.
Nami nilikuwa naambiwa najidai hamnazo. Kilichokuja kunitokea ni kibaya sana. Japo jamaa hawakunifanyia mabaya lakini nilihisi kuwa mkosefu sana. Yule dada alikuwa kichwa maji kweli. Natamani kuandika ila acha niache.
Mwambie amwache hugo mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…