Uko wapi zulfa haroun

Uko wapi zulfa haroun

Nyangaramera

Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
59
Reaction score
43
Jamani namtafuta uyu dada toka alipohama arusha secondary mwaka 2002 ckuweza kumpata tena,though kwenye mitandao ya kijamii alijiita zulfa r ahmed bt hizo account ziko inactive.yeyote mwenye mawasiliano nae plz ani pm
 
Umenikumbusha kidemu changu cha shule ya msingi zulfa , ukimpata pia zulfa ni pm maana uenda akawa yy
 
Back
Top Bottom