Ukoloni na biashara ya utumwa(waarabu)

Ukoloni na biashara ya utumwa(waarabu)

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Hebu tuangalie kwa kina, ukoloni uliletwa na wazungu tu. Waarabu na wahindi walikuwa wafanyabishara tu.
Hoja, ninani mwenye afadhali kati ya mkoloni na mfanyabishara?

Japokuwa mkoloni alikuwa na mabaya yake kama kutesa, kushurutisha, kuaibisha na bogus treaty lakini kuna kitu cha maana aliacha tupo nacho hadi leo.

Mfanyabiashara (mwarabu) alikuwa mpitaji anayejijali yeye tu. Ni vitu vichache sana vya maana alivyoacha Afrika hasa Tanzania (Tanganyika+zenji). Kwa ujumla waarabu sio watu wazuri hata kidogo kihistoria.

Karibuni kwa hoja.
 
Nonsense.

Kwanza, Rudi shule ukasome vizuri historia nzima ya utumwa.

Pili, hatupo hapa kuchagua the lesser evil au nani mnamuabudu mizungu au miarabu. Sisi tunaangalia maslahi mapana ya taifa. Wamatumbi mmeshindwa kuendesha bandari kama ambavyo NBC, NMB, KIA zilivyowashinda ni wakati wa muwekezaji kupewa. Utumwa/uarabu/dini have nothing to do with uwekezaji.
 
Nonsense.

Kwanza, Rudi shule ukasome vizuri historia nzima ya utumwa.

Pili, hatupo hapa kuchagua the lesser evil au nani mnamuabudu mizungu au miarabu. Sisi tunaangalia maslahi mapana ya taifa. Wamatumbi mmeshindwa kuendesha bandari kama ambavyo NBC, NMB, KIA zilivyowashinda ni wakati wa muwekezaji kupewa. Utumwa/uarabu/dini have nothing to do with uwekezaji.
Mbona unarembua?
 
Kaka mkubwa jitahidi kusoma historian kwa makini hapo ndo utajua vyema nani ana uhafadhari ila kumbuka ukoloni ni ukoloni tu
 
Nonsense.

Kwanza, Rudi shule ukasome vizuri historia nzima ya utumwa.

Pili, hatupo hapa kuchagua the lesser evil au nani mnamuabudu mizungu au miarabu. Sisi tunaangalia maslahi mapana ya taifa. Wamatumbi mmeshindwa kuendesha bandari kama ambavyo NBC, NMB, KIA zilivyowashinda ni wakati wa muwekezaji kupewa. Utumwa/uarabu/dini have nothing to do with uwekezaji.
Kitu Cha ajabu wamatumbi wameshindwa kuendesha bandari,kia,NBC nk lkn eti wanaweza kuendesha sirikali?.
 
Back
Top Bottom