Ukombozi Umefika Morogoro...

Ukombozi Umefika Morogoro...

English Learner

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
356
Reaction score
357
Hivi karibuni nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya ulimwengu wa Roho. Katika lulu ambazo nimepata kuzijua ni Mtumishi wa Mungu, Askofu Elibariki Sumbe msimamizi wa Kanisa la Vuka Yordani lililopo Ngaramtoni, Arusha. Katika zama tulizomo moja ya changamoto kubwa ni kuwatambua Watumishi wa Mungu wa kweli. Na Biblia imetuagiza kuzijaribu roho kabla ya kuziamini.

Binafsi nimeridhika na Mungu wa Askofu Sumbe na jinsi ambavyo anatoa huduma bila kuvutiwa na mambo ya mwili (fedha, mali, n.k). Nakualika wewe mwenyeji wa Morogoro na maeneo jirani tukale neno na kupokea uponyaji ENEO LA KINGOLWIRA. Askofu Sumbe atakuwa hapa kuanzia leo mpaka tarehe 6/12/2020
 
Hivi karibuni nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya ulimwengu wa Roho. Katika lulu ambazo nimepata kuzijua ni Mtumishi wa Mungu, mchungaji yoshua mwiru msimamizi wa Kanisa la uponyaji lililopo Pemba. Katika zama tulizomo moja ya changamoto kubwa ni kuwatambua Watumishi wa Mungu wa kweli. Na Biblia imetuagiza kuzijaribu roho kabla ya kuziamini. Binafsi nimeridhika na Mungu wa Askofu mwiru na jinsi ambavyo anatoa huduma bila kuvutiwa na mambo ya mwili (fedha, mali, n.k). Nakualika wewe mwenyeji wa Morogoro na maeneo jirani tukale neno na kupokea uponyaji ENEO LA bondeni. Askofu mwiru atakuwa hapa kuanzia leo mpaka tarehe 6/12/2020
 
Mungu anaponya na kufufua.
Shetani anaponya ila hawezi kufufua.
 
Back
Top Bottom