Ukomo time kukemea waongo wote kusema Jerusalem ni hollyland ya Waislam, enough is enough

Ukomo time kukemea waongo wote kusema Jerusalem ni hollyland ya Waislam, enough is enough

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
14,809
Reaction score
11,825
Kwa Wapenda Amani Duniani wakiwemo Vioongozi wa Nchi za Kiislam au zenye waislam wengi na wacheche waache uongo mara moja Dunia imechoka na uongo ambao unasababisha kutokuwepo na Amani... news za vifo zinachosha.. issue ni kwa Iblis ndio anatusumbua mno... kawashika watu kawajaza uongo wapo tayari kutoa uhai wao kwa kushikilia uongo ulio tukuka.

Jerusalem hii hii haijawahi kuwa eneo takatifu la waislam kamwe na haitokuwa kamwe.. even Quran ambayo inasemekana ni Maneno ya Allah haijawahi sema wala kuelezea kuwa Jerusalem ni for Muslim zaidi imeeleza wazi kuwa ni Holly land for Wayahudi na imewataka wasiliachie kwa maadui watakao kumbana nao hadi kiama. na aliwaahidi watawashinda waamudi zao, Ni ahadi baina ya Nabii Musa na Allah.. utashagaa watoto wa shetani wanapinga hadi misuli inawatoka

Quran 5:21 -
Enyi watu wangu!, ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni, wala msirudi nyuma kwa migongo yenu, msije mkageuka kuwa wenye hasara

Jerusalem Imekuwa Mji mkuu wa Israel tokea Mflame Daudi, miaka 3000 iliyopita na haijawahi kamwe kuwa mji wa taifa lolote duniani. Jerusalem iliingiliwa na Maadui Arabs Muslims wakiongozwa na Uthman mwaka 716 hata hivyo walisoma Quran hawakuigusa Jerusalem wakajenga Ramallah kama mji wao mkuu Jerusalem wakaitenga ikawa fukara. Watu wengi walioishi Jerusalem kuanzia miaka ya 1800 walikuwa ni wayahudi na sio Waislam, na hajawahi tokea mtu akadai Jerusalem ni mji mtakatifu wa Waislam, vitabu vitakatifu vya Wayahudi vimeitaja Jerusalemu mara 700, na Quran haijawahi kuitaja hata kwa bahati mbaya kuwa Jerusalem ni for Muslims.. tumechoka na Uongo wa Iblis.. hii inaonesha wasumbufu wametumwa na Iblis only kwa kubishana na Allah wa Quran... adhabu yao kiama wataijua vizuri..

Hata kuhusu Mtume wa Waislam Mohamad anayedaiwa kupaa kutokea Jerusalem kwenda Mbinguni katika Quran... kisha akashukia kutoka Mbinguni eneo lililo karibu na mbingu pale Aqsa ukisoma Quran inaonesha ni Ndoto kuwa alienda eneo la mbali ambalo ni Mbinguni na eneo la karibu ni Palestine na sio Jerusalem ambayo haijatajwa na Quran.

"Wakati Waarabu walipoidhibiti Jerusalem kuanzia 1948-1967, Jordan ilipoidhibiti, walijenga kila kitu cha umuhimu huko Amman, sio Yerusalemu," alisema. "Waliruhusu kuwa makazi duni. Hakukuwa na maji, hakuna umeme, hakuna mabomba huko. Waliharibu masinagogi 58 mashariki mwa Yerusalemu."

Akitoa wito kwa wasikilizaji wake kusaidia kukemea uwongo huo, Klein alisema, "Lazima sasa tumuambie kila mtu: Sio eneo takatifu kwa Waislamu, inatosha kwa uwongo huu! Inatosha kwa uwongo eti eneo tunalikalia, hakuna kukaliwa, hii ni ardhi ya Wayahudi, inatosha. ya uwongo kwamba makazi ndio sababu hatuna amani makazi yanajumuisha 2% ya Yudea na Samaria, hakuna makazi mapya yaliyojengwa tangu 1993.

Akishutumu vyombo vya habari na viongozi wa dunia, aliongeza, "Yote tunayopata kutoka kwa vyombo vya habari, na hata kutoka kwa viongozi duniani kote, ni uongo, uongo na uongo kuhusu Israeli."

"Tofauti na wanasiasa, Mungu hutimiza ahadi zake. Na kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na kwa usaidizi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli, watu wa Kiyahudi katika ''Eretz Yisrael'' (Nchi ya Israeli) watashinda na watadumu milele," alihitimisha.


View: https://youtu.be/KPaRpZN1TZo
 
According to Muslim source Malaika from Mbingu ya chini kwenda Mbingu ya Juu kwa Allah kwa kutumia Speed ya mwangaza atatumia miaka 1,000 kwenda na kurudi miaka 1,000 tena so total 2,000 kichekesho Mtume Mohamad alitumia Punda kwenda Mbinguni kwa usiku mmoja go and return..mkewe Aisha alisema mwili alilala nao hadi asubuhi Quran ukisoma kwa code utaona Story ni enzi za Musa.. so possiby njemba imeondoa jina la Musa akaweka lake.

Kisha ile story ya Peter alienda peponi kisha hell kaunga unga aonekane ni yeye.. and kichekesho kingine Mudy alipoenda Mbinguni akapewa Salat 50 awape waislam wawe wanaswali kwa kila siku..

Akakutana na Musa Musa akamuambia acha uzembe waislam hawatoweza kuswali salat 50 kaombe discount basi safari ikawa ni kwenda na kurudi hadi zikafika Salat 5... uongo kwenye Quran inasema salat kwa waislam ni 3 tu mengine ni dua na tasbihi na kumsifu Allah.

PUNDA (Mule) eti apae umbali wa speed kali inayotumia miaka 2000 tena kwenda rudi kwenda rudi kwa usiku mmoja bila kupambazuka.. hahahaha. and Mtume alimuona Allah mwenye umbo la kijana
 
Ugomvi wa kidini sio mzuri

Dini zote tumeletewa na wakoloni sisi waafrica sio zetu. Hatujapewa kitabu chochote na Mungu.

Dini zote ni utapeli

Dini zote ni za uongo hakuna ya kweli hata moja

Dini zote ni biashara zinatajirisha wamiliki wa hizo dini
 

Everything uletayo wewe ni uongo... video yote ukichambua ni uongo, Mtume wenu alisema yeye ndie atakayekuwa wa kwanza kwenye ufufuo wa Kwanza, so haiwezekani akutane na mitume waliotangulia kufa kabla yake wawe hai au maisha ya kuzimu wanaswali huko.. itakuwa Allah muongo kama kifo sio hali ya pouse hadi ufufuo wa pili, Sasa Al aqsa msikiti according to muslims source umejengwa na Adam wewe unaleta breaking news umejengwa na Ibrahim..

There is a difference of opinion amongst scholars as to who exactly built Al Masjid Al Aqsa, with some scholars and historians asserting the view that Al Masjid Al Aqsa was built by Prophet Adam (as), and others opining that it was built by Prophet Ibrahim (as).
 
Everything uletayo wewe ni uongo... video yote ukichambua ni uongo, Mtume wen alisema yeye ndie atakayekuwa wa kwanza kwenye ufufuo w Kwanza, so haiwezekani akutane ....
kaisikilize tena video
 
Kwa Wapenda Amani Duniani wakiwemo Vioongozi wa Nchi za Kiislam au zenye waislam wengi na wacheche waache uongo mara moja Dunia imechoka na uongo ambao unasababisha kutokuwepo na Amani... news za vifo zinachosha.. issue ni kwa Iblis ndio anatusumbua mno... kawashika watu kawajaza uongo wapo tayari kutoa uhai wao kwa kushikilia uongo ulio tukuka.

Jerusalem hii hii haijawahi kuwa eneo takatifu la waislam kamwe na haitokuwa kamwe.. even Quran ambayo inasemekana ni Maneno ya Allah haijawahi sema wala kuelezea kuwa Jerusalem ni for Muslim zaidi imeeleza wazi kuwa ni Holly land for Wayahudi na imewataka wasiliachie kwa maadui watakao kumbana nao hadi kiama. na aliwaahidi watawashinda waamudi zao, Ni ahadi baina ya Nabii Musa na Allah.. utashagaa watoto wa shetani wanapinga hadi misuli inawatoka

Quran 5:21 -
Enyi watu wangu!, ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni, wala msirudi nyuma kwa migongo yenu, msije mkageuka kuwa wenye hasara

Jerusalem Imekuwa Mji mkuu wa Israel tokea Mflame Daudi, miaka 3000 iliyopita na haijawahi kamwe kuwa mji wa taifa lolote duniani. Jerusalem iliingiliwa na Maadui Arabs Muslims wakiongozwa na Uthman mwaka 716 hata hivyo walisoma Quran hawakuigusa Jerusalem wakajenga Ramallah kama mji wao mkuu Jerusalem wakaitenga ikawa fukara. Watu wengi walioishi Jerusalem kuanzia miaka ya 1800 walikuwa ni wayahudi na sio Waislam, na hajawahi tokea mtu akadai Jerusalem ni mji mtakatifu wa Waislam, vitabu vitakatifu vya Wayahudi vimeitaja Jerusalemu mara 700, na Quran haijawahi kuitaja hata kwa bahati mbaya kuwa Jerusalem ni for Muslims.. tumechoka na Uongo wa Iblis.. hii inaonesha wasumbufu wametumwa na Iblis only kwa kubishana na Allah wa Quran... adhabu yao kiama wataijua vizuri..

Hata kuhusu Mtume wa Waislam Mohamad anayedaiwa kupaa kutokea Jerusalem kwenda Mbinguni katika Quran... kisha akashukia kutoka Mbinguni eneo lililo karibu na mbingu pale Aqsa ukisoma Quran inaonesha ni Ndoto kuwa alienda eneo la mbali ambalo ni Mbinguni na eneo la karibu ni Palestine na sio Jerusalem ambayo haijatajwa na Quran.

"Wakati Waarabu walipoidhibiti Jerusalem kuanzia 1948-1967, Jordan ilipoidhibiti, walijenga kila kitu cha umuhimu huko Amman, sio Yerusalemu," alisema. "Waliruhusu kuwa makazi duni. Hakukuwa na maji, hakuna umeme, hakuna mabomba huko. Waliharibu masinagogi 58 mashariki mwa Yerusalemu."

Akitoa wito kwa wasikilizaji wake kusaidia kukemea uwongo huo, Klein alisema, "Lazima sasa tumuambie kila mtu: Sio eneo takatifu kwa Waislamu, inatosha kwa uwongo huu! Inatosha kwa uwongo eti eneo tunalikalia, hakuna kukaliwa, hii ni ardhi ya Wayahudi, inatosha. ya uwongo kwamba makazi ndio sababu hatuna amani makazi yanajumuisha 2% ya Yudea na Samaria, hakuna makazi mapya yaliyojengwa tangu 1993.

Akishutumu vyombo vya habari na viongozi wa dunia, aliongeza, "Yote tunayopata kutoka kwa vyombo vya habari, na hata kutoka kwa viongozi duniani kote, ni uongo, uongo na uongo kuhusu Israeli."

"Tofauti na wanasiasa, Mungu hutimiza ahadi zake. Na kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na kwa usaidizi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli, watu wa Kiyahudi katika ''Eretz Yisrael'' (Nchi ya Israeli) watashinda na watadumu milele," alihitimisha.


View: https://youtu.be/KPaRpZN1TZo

Hahahahahahaha pole xnaa naona umefanya utafiti ukagundua ukweli
Ila cha ajabu huo ukweli unaukataa
Hakuna history ya ukristo ndani ya Israel dini ya mchongo hio
Tatizo mnazani uislam umeletwa na Mohammed (s.a.w)
Uislam ulikua kabla yake since day 1
 
Hahahahahahaha pole xnaa naona umefanya utafiti ukagundua ukweli
Ila cha ajabu huo ukweli unaukataa
Hakuna history ya ukristo ndani ya Israel dini ya mchongo hio
Tatizo mnazani uislam umeletwa na Mohammed (s.a.w)
Uislam ulikua kabla yake since day 1
Muwe mnathibitisha basi ili twende sawa

Kama uislamu haukuletwa na mtume na ndiye Quran inamtaja ndiye aliyeteremshiwa, inakuweje tena awepo mwingine zaidi ya aliyetelemshiwa kitabu na tayari aanze kuuelezea uislamu?
 
Acha uongo, haijasemwa popote kwamba dini itamwingiza mtu mbinguni ni mambo ya walimwengu tu kama Yanga na Simba.
1.JAANNAT-AL-FIRDAWS (The Vast Garden)

“Who concentrate their attention in humbleness when offering Salah (prayers), and who keep themselves away from vain things, and who are performers of Zakah , and who guard their private parts– and (success is attained) by those who honestly look after their trusts and covenant, and who consistently observe their prayers.Those are the inheritors, who will inherit Firdaus (the Paradise). They will be there forever. (23:2–11)

2. JANNAT-AL-ADN (Gardens of Everlasting Bliss)

“ Those who fulfill (their) pledge with God and do not break the covenant, and those who maintain the relationships God has commanded to be maintained and fear their Lord and are frightful of evil reckoning, and those who observe patience in order to seek the pleasure of their Lord and establish Salah and spend secretly and openly from what We have given to them, and repel evil with good. Those are the ones for whom there is the ultimate abode,the eternal gardens they enter, and those as well who are righteous from their fathers, spouses, and progeny. The angels will enter onto them from every gate” (13:20–23)

3. JANNAT-AL-MAWA (Garden for Abode)

“Only they believe in Our revelations who, when they are reminded, bow in adoration, and give praise to their Lord, and do not become arrogant. Their backs do not rest on their beds, and they pray to their Lord in fear and hope, and spend of what We have given them (in charity). No soul knows what peace and joy lie hidden from them as reward for what they have done…As for those who believe and do the right, there are gardens for abode as welcome for what they had done.” (32:15–19)

4. JANNAT-AL-NAIM (The Gardens of Tranquility)

“In whose wealth a due share is included For the needy and those dispossessed, And those who fear the punishment of their Lord,…And those who guard their sex …..And those who fulfill their trusts and covenants, Who uphold their testimonies, And those who are mindful of their moral obligations. They will live in gardens with honour…Does every one of them wish to enter the garden of tranquility?? (70:24–38)

5. DAR-AL-SALAM (Abode of Peace)

(Say): "Then should I seek (the source of) law elsewhere than God, when it is He who has revealed (in) this Book to you, which distinctly explains (everything)?"…Perfected are the laws of your Lord in truth and justice, and there is no changing His law. Discard both the visible and invisible sin.….This is the straight path of your Lord. Distinct have We made Our signs for those who reflect. For them is an abode of peace with their Lord. He will be their defender as reward for what they did.” (6:114–127)

6. JANNATUN TAJREE MIN TAHTIHAL ANHARU (Garden with running water)

“And hasten for the pardon of your Lord, and for Paradise extending over the heavens and the earth, laid out for those who take heed for themselves and fear God, Who expend both in joy and tribulation, who suppress their anger and pardon their fellowmen; and God loves those who are upright and do good, And those who, if they commit a shameful act or some wrong against themselves, remember God and seek forgiveness for their sins: For who can forgive except God? They should not be perverse about their doings, knowingly. Their recompense is pardon by their Lord, and gardens with streams of running water where they will abide for ever. How fair is the recompense of those who act!” (3:133–136)

SUMMERY (from above verses):

Keep yourself away from vain things
Guard the private parts
Avoid forbidden things (visible and invisible sin)
If commit any sin, repent quickly
Be concious about Day of Judgement
Be constant in prayer with adoration, concentration and humbleness, both in fear and hope.
Spend for poor and needy, both in good time and bad time (secretly or openly)
Maintain the duty of relationship
Repel evil with good
Be patient in adversity
Do not become arrogant
Suppress anger
Pardon other
Keep up trust and covenant
Be truthful in testimony
Be mindful of moral obligation
Be always upright
Believe in God and keep your pledge with him.
Do the right deeds (for more list of good deeds, see the link below)
May God guide you to the highest of the Jannah and give ability to do good works, for your sincere intention.

Dini ni Muhimu sana sio kama wewe muandika magazeti unajidai unaifahamu dini huna lolote
 
Hahahahahahaha pole xnaa naona umefanya utafiti ukagundua ukweli
Ila cha ajabu huo ukweli unaukataa
Hakuna history ya ukristo ndani ya Israel dini ya mchongo hio
Quran imethibitisha Tourat na Injili ya Jesus na Inatuita Watu wa Kitabu, Jew Yahud,Chiristian Nasara Wafuasi wa Jesus..
Tatizo mnazani uislam umeletwa na Mohammed (s.a.w)
Uislam ulikua kabla yake since day 1
Una ongea bila maelezo... nakupa DISCO umefail na huna akili...

Uislam unajua maana yake?

ISLAM = Surrender au Kujisalimisha. there is a tons of sources zinasema kujisalimisha kwanza then imani baadae, Mudy alikuwa analizimisha na ukikata anakuua au unalipa kodi kwake.
Ana Mtume wenu alisema Uislam ulianza mdogo na utatokomea wote.
Mishkat al-Masabih » Faith - كتاب الإيمان
He also reported God’s messenger as saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few [who hold to it]' Muslim transmitted it.
وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: «بَدَأَ الْإِسْلَامُ غَرِيبًا وَسَيَعُودُ كَمَا بَدَأَ فَطُوبَى للغرباء» . رَوَاهُ مُسلم


Sasa ukiwa Day 1 nani alijisalimisha? And day one ilikuwa uumbaji

Skiza Muislam wa Kwanza alikuwa ni Mkristo aliyeitwa Waraqah bin Nawfal Mjomba wake Khadija Mke wa Qutham a.ka Mohamad aka The Praised One. Cheo cha Mungu hahahaha, Waraqah ndie aliyemuambia Mudy baada ya kupandisha mashetani kuwa sio Shetani bali Malaika Jibril.. so Uislam ndio dini ya Mchongo.

Ukristo ni Wafuasi wa Jesus maana alisema yeye ndie Njia(Dini) na watakao mfuata ndio watauona ufalme wake.
Poleni kama hammfuati Jesus is up to nyinyi hell people nyie.

Kama Ukristo ungekuwa Dini ya Mchongo why Allah wenu aseme Wafuasi wa Jesus ndio watakuwa powerful hadi siku ya Kiama. Waliokufulu ndio nyie waislam makafiri sisi tutakuwa juu yenu hadi siku ya kiama. punda wewe.

Kasome Quran 3:55

Mwenyezi Mungu aliposema: Ewe Isa! Nitakukumbusha1 na nitakunyanyua Kwangu na nitakutakasa (kutoka katika kundi) miongoni mwa walio kufuru,2 na nitawaweka wafuasi wako juu ya makafiri mpaka Siku ya Kiyama. Kisha mtarejea Kwangu, na nitahukumu baina yenu katika yale mliyo khitalifiana.

And Pia Mtume wenu amesema Waksristo wataenda peponi nikupe hadithi? upate shock and pia katika madhehebu yenu ya waislam ni moja tu ndio litaenda peponi wajua hilo? wewe ni Shia au Sunni? maana unaonesha kichwani mwako huna uislam wowote zaidi unafuata upepo kama bendera... learn from me kwa Msaada wa Jesus

Kila muslim ni muongo sijui hamjijui au?
 
Ugomvi wa kidini sio mzuri

Dini zote tumeletewa na wakoloni sisi waafrica sio zetu. Hatujapewa kitabu chochote na Mungu.

Dini zote ni utapeli

Dini zote ni za uongo hakuna ya kweli hata moja

Dini zote ni biashara zinatajirisha wamiliki wa hizo dini
Wewe nae usituvuruge! Kwa hiyo ishu yae mabikira itakuwaje?
 
Kitu cha kuelewa kirahisi ni kwamba Muhammad alikufa akazikwa kaburini huko Saudi Arabia na wale hakupaa kwenda mbinguni....Kingine huko aliko Muhammad anaadhibiwa maana alikufa akiwa na dhambi.Na hawa waislam unaowaona huwa wanamuombea Kwa MUNGU wao Allah subhana wataala apunguziwe adhabu.Hili lipo kwenye swala zap Muslim...Mwisho Waislam hawajui neno Jerusalem.Wao na MUNGU wao wanajua neno Quds..Na wapo kwenye ndoto ya mchana kwamba iko siku wataipata Yerusalem.
 
kaisikilize tena video
Leo nimepata ka muda kuichambua kavideo na uongo na ujinga mwingiiiii.

Tuanze:-
Al Masjid Al Aqsa and the land around it, kiroho katika Uislam.
Jamaa Anadai ni Al aqsa ndio Msikiti wa Pili kujengwa katika Dunia hii Earth.. Je Ni Ukweli?

Jibu ni Uongo..
Jamaa anaanza kwa Kusema Adam ndie alijenga msikiti wa Duniani unaitwa Kaaba and miaka 40 baadae ndio akajenga Masjid Al Aqsa..
Jibu ni Uongo Msikiti Kaaba vipimo vyake:-
Specifications
Length 12.86 m (42 ft 2 in)
Width 11.03 m (36 ft 2 in)
Height (max)13.1 m (43 ft 0 in)
Materials - Stone, Marble, Limestone
Kama Adam ndie alijenga na According to mtume wenu Adam alikuwa jitu n saheeh al-Bbukhari hadith No. 246, Prophet Muhammad states that Adam was created 30m in height.

Kwa Urefu wa Adam 30 m basi alikuwa anachuchumaa kisha anatambaa kuingia msikiti Kaaba wenye mita 12.86 m hahahahaha sasa alisujudi vipi? acheni uongo.



Aina yake ni Temple - Hekaru not Msikiti Age yake ni Enzi na Uislam ulipoanza not in Adam's Time
According to historian Eduard Glaser, the name "Kaaba" may have been related to the southern Arabian or Ethiopian word "mikrab", signifying a temple. - Original haukuwa Msikiti ni Hekaru so it have nothing to do with Islams.. ndio uongo tuliouchoka.

Various sculptures and paintings were held inside the Kaaba. A statue of Hubal (the principal idol of Mecca) and statues of other pagan deities are known to have been placed in or around the Kaaba.[22] Apart from the paintings of pagan idols decorating the walls, which were destroyed at the behest of Muhammad after his conquest of Mecca,[22] there were also paintings of angels, of Ibrahim holding divination arrows, and of Isa (Jesus) and his mother Maryam (Mary), which Muhammad spared.[23] Undefined decorations, money and a pair of ram's horns were recorded to be inside the Kaaba.[22] The pair of ram's horns were said to have belonged to the ram sacrificed by Ibrahim in place of his son Ismail as held by Islamic tradition. Ukisoma hapo ndio inaonesha wazi Upagani and tunaambiwa Picha ni haram ila kuna Michhoro ya Jesu kaaba na Mary na Malaika.. hahaha Muslims are Hyporocrates.

the Kaaba was a holy site for the various Bedouin tribes throughout the Arabian Peninsula. Once every lunar year, Bedouin people would make a pilgrimage to Mecca. Setting aside any tribal feuds, they would worship their gods in the Kaaba and trade with each other in the city.

Circumambulation was often performed naked by men and almost naked by women.[29] It is disputed whether Allah and Hubal were the same deity or different. According to a hypothesis by Uri Rubin and Christian Robin, Hubal was only venerated by Quraysh and the Kaaba was first dedicated to Allah, a supreme god of individuals belonging to different tribes, while the pantheon of the gods of Quraysh was installed in the Kaaba after they conquered Mecca a century before Muhammad's time.[30]

Haya tuende Kwenye Masjid Al Aqsa Jamaa anasema Ibrahim Alijenga upya Msikiti wa Al Aqsa to the land of Jerusalem Eti Allah alikuwa akihusisha Ardhi iliyobarikiwa ya Jerusalem wakati hamna uhusiano wowote katika habari yake sababu hamna aya yeyote inayosema Al aqsa ipo Jerusalem.. yaani wanachomekea maneno yasiyohusiana ili kuhadaa watu... uongo hauna pa kukatiza hapa.. Jamaa anachomekea tena story ya Musa alipowaokoa Waisrael from Misri kwa Farao.. yaani ndio anajitia kidole kwani Musa ni Myahudi hana uhusiao wowote na uislam.. na ndio Ardhi yao hapo Israel na ndio waislam wanawachukia wenye ardhi yao waliyopewa na Allah.

Kisha jamaa kachomekea uongo mwingine eti Mtume wenu Mohamad alikuwa amelala next to kaaba... Malaika Gabriel akamuendea na akamchukua kwa ajili ya safari haswa ya kimwili na kiroho eti Allah anataka kumuonesha miujiza yake ya kisayansi hahahaha mbona vichekesho tupu wakati aya ipo inasema Allah alizuia kufanya miujiza kwa mohamad Quran 17:19. Allah anaongelea kuhusu Msikiti wa Al Aqsa na akasema msikiti ambao tumeubariki na maeno yanayouzunguka..

Mwanazuoni Ibn Abbas anasema unajua kwanini Allah amebariki Ardhi ya Jerusalem hii ndio sababu anasema kwa sababu hakuna hata ncha moja huko Yerusalemu isipokuwa Malaika alisimama hapo katika ibada au kulikuwa na mtume alimwabudu Mwenyezi Mungu katika eneo hilo au kuna nabii ambaye amezikwa eneo hilo ndio maana pakawa kheri.

Allah akawa katika haki yakumchukua Mtume wenu, akataka kumpeleka eneo alilolibariki ndipo Malaika Jibril akashuka duniani akiwa amekuja pamoja na Mnyama Aitwaye Al Buraq (Mule Punda Chotara mix Punda na Farasi) eti huyo Mnyama ana speed haswa hahahaha eti kila hatua yake moja ni mwisho wa upeo wa macho unapata picha hapo hahaha fix Allah Akamchukua Mtume wenu moja kwa moja hadi Mbinguni unanipa hapo? jama anadai ila Alimchukua Mtume hadi Jerusalem akampeleka Msikiti Al Aqsa kwasababu kulikuwa na kitu maalum pale kitu muhimu sana akaendelea kusimulia mwana zuoni Ibn Abbas a.k.a Punda.. akasema tulipowasili Jerusalem Jibril akanyooshea kidole ukuta na ukuta ukapasuka sehemu mbili nusu

kisha akamfunga Punda-farasi katikati ya huo ukuta Eti Mtumwe Mudy alishuhudia yote hayo, kisha Mtume wenu akaingia ndani ya Msikiti Al Aqsa kisha akaswali Rakat baada ya kumaliza rakat ya pili akanyanyua Kichwa chake akawaona mitume wote mbele yake.. hahahaha uongo huu mitume imekufa yote kasoro Jesus kiislam and Mtume wenu alisema yeye ndie atakayefufuliwa wa kwanza ukiwa muongo usiwe msahaulifu.. Imagine Ibrahim,Suleiman ambaye ndie alijenga huo Msikiti, Adam,Ayubu,Musa ambaye alitamani katika maisha yake kufika hapo Msikitini na hakuweza eti wote walikuwepo na aliwaona physical na manabii wote walikuwa wakimngojea yeye Mudy Mtume anasema walikuwa wanamngojea yeye wampe nafasi ya kuwaongoza kwenye ibada, eti aliona aibu hadi Jibreel akaja akamchukua akamshika mkono akampeleka hadi mbele ya manabii wote na akaongoza Salah, hii ndio wakati pekee manabii wote walikusanyika kwa ajili ya namna moja na nikawaongoza kwa Salah na hili ndilo lililoufanya Ummah wa Mtume um kuwa ni umma mkubwa kuliko wote uliowahi kutokea kwa sababu tuliwaongoza Mitume katika swala, SALAT YA USIKU MNENE SIJUI NDIO INAITWAJE

kisha Mtume kutoka huko akapanda mbinguni akapata amri ya swala akashuka kwenye Punda-Farasi na akaenda zake kwa Watu wake wa Makkah na akaanza kuwaelezea alisema na utafika wakati kama vile Mtume anajua kuwa utakuja wakati ambao Waumini watanyimwa msikiti wa Al-Aqsa kwa muda mrefu sana kama leo muonavyo.. uongo mwingine huu mnaona Alaqsa wanatumia waarabu kama ni kweli ndio huo msikiti ila according to Quran hakuna sehemu inataja Jerusalem ndio upo huo Msikiti Al Aqsa..

jamaa limeleta story na kumix ila hamna alichoweka ushahidi.. Mtume hakupaa physical sababu Aisha anasema usiku ule Mwili wa Mumewe ulikuwepo kitandani na alilala nae hadi kuna kucha hata mrango ahukufunguliwa kwenda chooni..

Jibril ni Malaika na Malaika kufika alipo Allah ni Mwendo wa Speed of light na sio hiyo ya punda-Farasi hatua moja mwiho wa upeo wa macho.. Malaika anatumia miaka 1,000 kwenda na kurudi 1,000 kurudi sasa ukipiga hesabu tokea miaka ile hadi leo kwa speed ya punda bado Mtume hajafika Mbinguni kwa Allah au kafika ila kurudi bado... Either Allah ni Muongo au Mohamad ndie Muongo... Jerusalem ya Wayahudi muiache mkadanganyane msikitini na mkome kuchafua Mitume waliokufa na wanasubiri ufufuo wa Pili R.I.P Musa,Ayub and Adam.

In Muslim Umbali wa Mbingu moja hadi nyingine ni mwendo wa Miaka 500 kwa kutumia kamba hahahaha

Hekaru la Jerusalem halikuwahi kuwa Msikiti wa Waislam tafadhalini acheni uchafu. kofar nyie jina mlilopewa na Wayahudi kupitia mtume wenu

KICHEKESHO CHINI - Allah ndio anajua hahahaha
benefits Derived from the above information (hadiths and Qur’an ayats) we find that the distance between Earth and the first heaven is 500 years apart. Between first heaven and second heaven the distance is 500 years. Second heaven to third heaven again 500 years distance and so on until seventh heaven. The seven heavens are separate from each other. From seventh heaven to Kursi (footstool) another 500 years distance. Kursi to the ocean (water) another 500 years in distance. Finally, evidence of the existence of the the ‘Arsh (Throne) is above the ocean (water) and the evidence of the immense angels carrying the ‘Arsh (Throne) and proof of its size the distance between that angel’s ear lobe and his shoulder is equivalent to a 700 year journey. You know the distance that can be covered in 500 years, at what speed? Only Allah knows.


 
Mtoaji mada ameongea kwa Jazba Sana.Mpaka Akashindwa Kueleweka
Jerusalem Sio sehemu ya Wakrtisto pia.
Wayahudi ni Kabila na Ni Dini Pia.
Kitendo tu cha Israel Kuwa Katikati ya Nchi Za Kiarabu,Kuzungukwa Na Nchi za Kiislamu inatosha Kuaamini kuwa eneo hilo limekaa Kiislam islam.
 
Back
Top Bottom