Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema wakati anajiunga na chama hicho kulikuwa na ukomo wa miaka 10 kwa kiongozi kukaa madarakani, hivyo kukawa na ukosefu wa watu wenye uzoefu wa kuwaongoza wengine. Ila kwa sasa chama kimekua na kinahitaji mabadiliko kwenye ukomo wa madaraka kwenye uongozi.
Soma hapa kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
Soma hapa kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
- Mbowe: Chama chetu hakina ukomo wa Madaraka na msitulazimishe kuwa kama CCM ama Act Wazalendo wenye ukomo wa Madaraka kwa viongozi
- Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'
- Lissu akiri kushiriki kuondoa ukomo wa Uongozi katika Katiba ya CHADEMA
- Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa