brilliant me
Member
- Aug 1, 2024
- 29
- 37
Habari zenu,
Naomba mnijuze ukomo wa kusoma masters katika vyuo huria.
Nauliza maana ni miaka karibu sita sasa shemeji yenu anasoma tu hiyo elimu. Vikwazo vimekuwa vingi mno masters haiishi mpaka namuonea huruma.
Naomba mnijuze ukomo wa kusoma masters katika vyuo huria.
Nauliza maana ni miaka karibu sita sasa shemeji yenu anasoma tu hiyo elimu. Vikwazo vimekuwa vingi mno masters haiishi mpaka namuonea huruma.