Ukomo wa ubunge uwe miaka mitano tu

Ukomo wa ubunge uwe miaka mitano tu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Nilikua naomba sana Ukomo wa ubunge uwe miaka mitano tu ili kupisha wengine wenye mawazo na mitazamo tofauti kuingia bungeni.

Saa nyingine tunachelewa kuendelea kwa kuwa na wabunge walewale miaka nenda rudi.

Nini maoni yako katika hili.
 
Hilo halitakubaliwa na hao hao wabunge watakaotakiwa kutunga hiyo sheria
 
Awamu mbili maximum hili liwemo kwenye Katiba mpya.
Nilikua naomba sana Ukomo wa ubunge uwe miaka mitano tu ili kupisha wengine wenye mawazo na mitazamo tofauti kuingia bungeni.

Saa nyingine tunachelewa kuendelea kwa kuwa na wabunge walewale miaka nenda rudi.

Nini maoni yako katika hili.
 
Muulize Jenister,lukuvi,ndugai
Wana majibu
 
Pia mishahara yao iangaliwe upya, ikatiwe kodi na waingizwe katika makato ya mifuko ya hifadhi za jamii ili wanapomaliza uongozi wapewe chao kama wastaafu wengine wanavyopewa stahiki zao....

Kinachofanyika sahivi ni kuchota pesa, kula jasho za watu.
 
Pia kwa walio na umri wa miaka chini ya 60. Wasubiri mafao yao wakifikisha miaka 60. Mafao hayo yatokane na jinsi walivyochangia..!

Vinginevyo warudishe fao la kujitoa..!
 
Back
Top Bottom