Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
watu wa aina ya Nkamia hawatakiwi kuja kupewa uongozi tena maisha yao yote.Hongereni Wanasimba kwa kukataa huyu mnafiki. Bwana Juma Nkamia ameangukia pua puu katika uchaguzi wa Simba hapo jana.
Nkamia ni mtu mwenye majivuno mengi.
Ni yeye aliyewahi kuja na hoja ya kutaka JPM aongezewe muda wa kututawala.
Ni yeye huyu aliyewahi kuwaita Wapinzani Mbwa alisema haongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa.
Sasa siyo mbunge, hana cha kufanya anataka akagange njaa kwenye mpira.
Wanasimba wakamuangusha puu.
Hongereni kumwangusha mjivuni huyu Juma Nkamia.