[emoji23][emoji23][emoji23] uzi tayari NAPOLEONalieelewa msaada please
Kama tu bibi yako ni mke wako sasa babu yako si atakuwa weweUKOO!
Fikiria, Unaoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto wa kike mkubwa. Kisha Baba yako anaoa mtoto wa mwanamke uliyemuoa.
Mtoto wa mke wako anakuwa Mama yako, baada ya Mtoto wa Mke wako kuwa Mama yako, Mke wako nae ambaye ni Mama wa Mama yako anakuwa Bibi yako!
Unashtuka Kumbe umeoa Bibi yako,Mwisho wa siku Mume wa Bibi yako anakuwa Babu yako, KUMBE BABU YAKO NI WEWE MWENYEWE!
Naamini kuna baadhi ya Koo / Familia, zina mvurugano flani ivi katika undugu. Kama mimi Shangazi yangu kaolewa na Babu Yangu!
Mathematics [emoji28][emoji28]UKOO!
Fikiria, Unaoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto wa kike mkubwa. Kisha Baba yako anaoa mtoto wa mwanamke uliyemuoa.
Mtoto wa mke wako anakuwa Mama yako, baada ya Mtoto wa Mke wako kuwa Mama yako, Mke wako nae ambaye ni Mama wa Mama yako anakuwa Bibi yako!
Unashtuka Kumbe umeoa Bibi yako,Mwisho wa siku Mume wa Bibi yako anakuwa Babu yako, KUMBE BABU YAKO NI WEWE MWENYEWE!
Naamini kuna baadhi ya Koo / Familia, zina mvurugano flani ivi katika undugu. Kama mimi Shangazi yangu kaolewa na Babu Yangu!