Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
- Thread starter
-
- #21
That's the way to go. Kuna mwingine yeye akiombwa mkopo anasema ana madeni bank na analipa 75% ya salary yake. Hakopi mtu yeyote yule. Unajua kuna marafiki wanakuja na shida genuine kabisa na unaguswa ila baadhi ya matukio yanapelekea mtu kujifunza ubandidu tu.Ukimuomba laki anakupa elfu10 halafu anakwambia nimekupa tu sitokudai. Unajua kwenye maisha unatakiwa bandidu sometimes.
bora ya huyo aliyekudhulumu lakini amejali urafiki wenuBora umkopeshe mtu usiyemfahamu waweza mpeleka hata mahakamani, ila hawa tunaowajua inakula kwetu tuu!
Kuna rafiki yangu nilimkopesha pesa ndogo tuu toka july2017 hajanilipa na ndo kwanza akinitext ananiambia naomba hela shogaangu nna hamu ya kuku mxxiiuuuu
Post yako imenifikirisha sana.Ukiona watu wanakopa kwako au wanajenga interest ya kukopa kwako ujue una advantage.
Maana yake kama mtu anakopa kwako laki 5 na unatoa bila shida, basi wewe una uwezo wa kukopa kwa mtu mwingine m5.
Conclusion: Pale yule wa laki5 anaposhindwa kukulipa, wewe utajilipa kwa business utakayofanya kwa ile m5. Walionielewa wanyoshe mikono juu
Halafu kwa nini mada kama hii umeileta jukaa la Chit chat au unatutania Mkuu.Rafiki yangu mmoja nilimkopa Laki Sita May 2017. Alikuwa nje ya mji na mkewe akapata emergency, akihitaji hiyo pesa. Kwa kuthamini urafiki wetu, nilimtumia fasta, na elfu kumi juu ya ''kutolea''. Huyu hajalipa mpaka leo. Mwingine alikuwa staff member na akaomba nimkope Laki Nane kwa kuwa alikuwa na shida ya kutoa kagari kake kapya bandarini. Ilikuwa June mwaka jana. Hajalipa mpaka leo.
Jambo la ajabu sasa, naona kama urafiki wetu umetetereka pakubwa sana kwa wote wawili. Sio kwamba nawasumbua kwa kuwadai, la hasha. Naona mmoja yeye hata nikichat nae, ule ukaribu wetu wa zamani haupo tena. Sasa hivi simuoni kabisa WhatsApp na nimeambiwa kabadilisha namba. Huyu wa Laki nane zaidi ya mara mbili amepokea simu zangu na kusema ''nipo busy/meeting mkuu, ntakucheki baadae buddaaa...''. Hakunicheki mpaka kesho kutwa. Last time nilitaka kumpa mchongo wa kazi moja hivi lakini alivyoyeyusha, deal nimempa mwingine.
Anyway, kopa mtu fedha at your own risk. Kwa kuwa ninathamimi sana urafiki, mwaka huu sintomkopa fedha mtu au rafiki yangu yeyote. Kama ni fedha kidogo na nimesukumwa na shida ya mtu, nitatoa msaada bure na halitakuwa deni. As for the two gentlemen, nimeshawasamehe moyoni ila sitawaambia na itakaa iwatese tu.
Yaani wewe unafanana na.mimi kabisa sipendi madeni aisee na nikopen na ikatokea nimepata hela naenda kufuta madeni ya watu.Mimi nimekoma kukopesha mtu sitaki kabisaaaa....Kuna watu hata aje aniambie anashida kubwa kiasi gani sitampa labda nitoe sadaka kiasi ninachojiskia mm na sio kile alichoomba.
Na kitu kimoja ni watu kukosa uaminjfu anasema ntakupa j3 ijajayo ikifika hiyo siku hapatikani au yuko bussy. Hawajui ni kiasi gani wanakukwamisha .Mbaya zaidi mi mtu akigoma kulipa nwambia ndugu wakati nakupa hiyo pesa sio kwamba nilikua sina kazi nayo ila tu nilithamini shida yako kwanza.
Sijui kwanini, yani sijui kwanini watu sio waaminifu wanapokopa.
Mimi nimejiwekea kutokupenda kukopa na ikitokea nakopa nalipa kwa wakati kama nilivyo ahidi na nikishindwa siku niliyoahidi namjulisha mhusika mapema aniongezee siku kadhaa lakini lazima nilipe.
Sipendi watu wasiolipa madeni
Madeni yanakosesha raha sana. Na tatizo la wengi anakopa alafu hafanyi kitu cha maana ndio maana wanakua wagumu kulipa.Yaani wewe unafanana na.mimi kabisa sipendi madeni aisee na nikopen na ikatokea nimepata hela naenda kufuta madeni ya watu.
Bora huyo wa piliMimi nimewakopesha rafiki zangu wawili Kila mmoja na wakati wake.
October 2014 Jamaa yangu nilimkopesha Milioni moja taslimu. Alikuwa amekwama ktk biashara yake ya miti ya mbao. Hajanilipa mpaka 26/01/2018 saa 13:24 na cmu yangu hapokei. Nikibadili Namba akipokea akijua Mimi anakata simu.
November 2014 nilimkopesha Jamaa yangu mwingine Milioni 2 taslimu. January 2015 alinilipa Milioni moja, ikabaki moja mpaka Leo 26/01/2018, saa 13:30 hajamalizia. Nikimfuata ananipa jibu cjapata Pesa mkuu.
NB: Wote nimeandikishana nao kwa mwanasheria wangu ambae n rafiki yangu.