sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Kwa sasa kilio kikubwa cha vijana ni ajira ukosefu wa ajira ni bomu linalosubiri kulipuka.
Bahati mbaya hakuna mwanasiasa yoyote Tanzania mwenye majibu namna gani atapunguza ukosefu wa ajira kwa vijana.
Hao wapinzani wanachoweza kufanya ni kulaumu tu serikali eti inaajiri watu wachache sasa wewe Heche ulivyo mjinga serikali itapeleka wapi walimu laki 3?
Hiyo mbona ni km idadi ya wanafunzi kwa akili hizi sijui hata kwa nini nilikupigia kampeni.
Guys ishu ya ajira nchi zote za Afrika tumechemka asitokee mwanasiasa akakudanganya anayo majibu utakuwa wewe ni mjinga wa mwisho.
Pia soma
Bahati mbaya hakuna mwanasiasa yoyote Tanzania mwenye majibu namna gani atapunguza ukosefu wa ajira kwa vijana.
Hao wapinzani wanachoweza kufanya ni kulaumu tu serikali eti inaajiri watu wachache sasa wewe Heche ulivyo mjinga serikali itapeleka wapi walimu laki 3?
Hiyo mbona ni km idadi ya wanafunzi kwa akili hizi sijui hata kwa nini nilikupigia kampeni.
Guys ishu ya ajira nchi zote za Afrika tumechemka asitokee mwanasiasa akakudanganya anayo majibu utakuwa wewe ni mjinga wa mwisho.
Pia soma