Ukosefu wa ajira sio walimu pekee

Ukosefu wa ajira sio walimu pekee

dorge

Senior Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
118
Reaction score
186
Miaka ya 2010 nikamaliza degree yangu ya pili baada ya ile ya awali kutonipa manufaa.

Kwa kuwa nilisoma nikiwa na cheki namba haikunipa shida kuhamia wizara nyingine kama mtaalam wa nilichokwenda kusomea.

Idadi ya wahutimu vijana ni kubwa mno, na sio walimu ni kada nyingine kabisa. Wakati huu walimu wakiwa wanalalamika, najiuliza ile timu iko wapi? Ila kiukweli nawashuhudia wale ambao tulikuwa na ukaribu wanachoma na kuuza mkaa, wapo waliokwenda kuwa Mitume wanamiliki makanisa.

Lkn wengine wako wapi. Hakika sijui.

1000372792.jpg
Uhaba wa ajira sio walimu pekee wanasheria wengi sana wanazalishwa, na kada mbalimbali. Katika hili vuguvugu kuna wale ambao wameshasha ji attach.kwao hasaoni maana. Kwa mfano aliopata kaz benk, wamepata mikopo..huyu hutamsikia kabisa. Kwenye ualimu ni tofauti
 
Agenda ni kwamba inakuwaje walimu wakose ajira ili Hali Kuna shule Zina walimu wawili,,,,nenda Kigoma,Mtwara,Ruvuma,na kila mkoa Tanzania uliza idadi ya wanafunzi na idadi ya walimu je Kuna uhusiano?

Swala lako la kukosa ajira kada zingine ni ukweli sasa jiuze je Kuna nafasi kwenye sekta zao? Mfano uhitaji wa mahakimu na wanasheria serikalini ni kidogo Sana.
 
Nazn n wazo nzur , ila mwanzo mzuri kwao hizo formation zngne ztakuja tuu na joints za pamoja ztatokea tuu

Kwan nao c wange unda chama then waunganishe kama vyama vya siasa wakat fuln vinafany hvyo ,

Mbona mnalalamika Tu.
 
Kada inayodhauliwa na wasomi uchwara wa kda zingine tofauti na ualimu leo hao hao ndo wanasuburi waokolewe na mwalimu Kwa kuwasemea kero zao hasa ukosefu wa ajira.
 
Tatizo ni elimu yetu au tatizo ni mimi na wewe binafsi.

Hapo awali nilikuwa nikilaumu sana watu kutokana na Yale yaliyokuwa yakinisibu , Lakini katika pita pita zangu kutafuta maarifa nikakutana na hii quote "If something goes wrong . It is more important to talk about who is going to fix it , than who is to blame "
Francis J Gable.

Kwani hatuna mamlake juu ya chanzo na matokeo ?
 
Agenda ni kwamba inakuwaje walimu wakose ajira ili Hali Kuna shule Zina walimu wawili,,,,nenda Kigoma,Mtwara,Ruvuma,na kila mkoa Tanzania uliza idadi ya wanafunzi na idadi ya walimu je Kuna uhusiano?

Swala lako la kukosa ajira kada zingine ni ukweli sasa jiuze je Kuna nafasi kwenye sekta zao? Mfano uhitaji wa mahakimu na wanasheria serikalini ni kidogo Sana.
Nikwel kuna shule zina walimu wawil, ila kama serikali itaajiri kwa 100% basi tuwe tayar kutofanya maendeleo ya aina yoyte ile kwan UCHUMI wetu hauruhusu kuajir watumishi kwa kiwango hicho
 
Kada inayodhauliwa na wasomi uchwara wa kda zingine tofauti na ualimu leo hao hao ndo wanasuburi waokolewe na mwalimu Kwa kuwasemea kero zao hasa ukosefu wa ajira.
Kuna baadhi ya wanasiasa uchwara watakukasirikia sana hoja yako hii.
 
Miaka ya 2010 nikamaliza degree yangu ya pili baada ya ile ya awali kutonipa manufaa.

Kwa kuwa nilisoma nikiwa na cheki namba haikunipa shida kuhamia wizara nyingine kama mtaalam wa nilichokwenda kusomea.

Idadi ya wahutimu vijana ni kubwa mno, na sio walimu ni kada nyingine kabisa. Wakati huu walimu wakiwa wanalalamika, najiuliza ile timu iko wapi? Ila kiukweli nawashuhudia wale ambao tulikuwa na ukaribu wanachoma na kuuza mkaa, wapo waliokwenda kuwa Mitume wanamiliki makanisa.

Lkn wengine wako wapi. Hakika sijui.

Uhaba wa ajira sio walimu pekee wanasheria wengi sana wanazalishwa, na kada mbalimbali. Katika hili vuguvugu kuna wale ambao wameshasha ji attach.kwao hasaoni maana. Kwa mfano aliopata kaz benk, wamepata mikopo..huyu hutamsikia kabisa. Kwenye ualimu ni tofauti
Tatizo ji kuwepo kwa Ombwe la Utawala katika nchi hii.
Utawala wa nchi ukiyumba basi na kila Sekta iliyopo katika nchi nayo lazima pia itayumba.
Hakuna Mipango katika nchi hii. Tatizo hili la ajira ni janga kubwa sana kwa Usalama wa mtu mmoja mmoja na kwa Usalama wa nchi pia. Ni suala la muda tu, bomu litalipuka!
 
Miaka ya 2010 nikamaliza degree yangu ya pili baada ya ile ya awali kutonipa manufaa.

Kwa kuwa nilisoma nikiwa na cheki namba haikunipa shida kuhamia wizara nyingine kama mtaalam wa nilichokwenda kusomea.

Idadi ya wahutimu vijana ni kubwa mno, na sio walimu ni kada nyingine kabisa. Wakati huu walimu wakiwa wanalalamika, najiuliza ile timu iko wapi? Ila kiukweli nawashuhudia wale ambao tulikuwa na ukaribu wanachoma na kuuza mkaa, wapo waliokwenda kuwa Mitume wanamiliki makanisa.

Lkn wengine wako wapi. Hakika sijui.

Uhaba wa ajira sio walimu pekee wanasheria wengi sana wanazalishwa, na kada mbalimbali. Katika hili vuguvugu kuna wale ambao wameshasha ji attach.kwao hasaoni maana. Kwa mfano aliopata kaz benk, wamepata mikopo..huyu hutamsikia kabisa. Kwenye ualimu ni tofauti
Unaunga mkono Serikali kutobuni na kutengeneza ajira kwa kada zote sababu tu walimu ndiyo tu wamelalamika na sio wote ? Africa haikosi maajabu. Urusi, Iran na north Korea wamewekewa vikwazo na uchumi wao bado unapaa. Zimbabwe wamewekewa vikwazo watu wanashindwa kununua hata mkate. Ngozi nyeusi ni laana. Serikali kushindwa kutengeneza ajira na kulundika wasomi huku manakopa matrilioni ni aibu, fedheha na uporaji wa rasilimali za nchi.
 
Nikwel kuna shule zina walimu wawil, ila kama serikali itaajiri kwa 100% basi tuwe tayar kutofanya maendeleo ya aina yoyte ile kwan UCHUMI wetu hauruhusu kuajir watumishi kwa kiwango hicho
Mbona wengine (kikwete) waliweza kiajiri na kufanya maendeleo mengine.
Tatizo siyo hela ya kuajiri bali namna ya kupanga vipaumbele. Soma ripoti ya CAG, hela nyingi inaliwa
 
Wacha nisome tu comment

Ila kuwatetea hawa walimu ambao ndo makada namba moja wa sisim ni kukosa kaz kabsa wacha wapambane na baba yao ccm ndo wanamsaidiaga kuiba kura
 
Back
Top Bottom