Kama ni kweli uyasemayo, basi yawezekana kabisa kunafisadi kapewa zitumike uchaguzi 2010. Wamebanwa sehemu mbalimbali, lakini kwa sababu wanambinu nyingi za kushindwa uchaguzi kama mzee mlcl alivyo wahi kusema, hiyo pia ni mbinu ya kufanikisha uchaguzi 2010