A
Anonymous
Guest
Sisi Wakazi wa Kata ya Buhembe katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera tunaomba Mamlaka ya Maji Bukoba (BUWASA) kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwenye Kata ya Buhembe.
Serikali imewekeza fedha nyingi ujenzi wa tenki kubwa la maji katika Kata ya Buhembe na limeshazinduliwa na Mwenge wa Uhuru tangu Mwaka 2024 lakini Wananchi wa Kata hiyo na Kata jirani hatuoni faida ya tenki hilo lililogharimu fedha nyingi za Wananchi.
Mamlaka husika itoe majibu na itatue tatizo hilo, tunaoumia ni wengi.
Serikali imewekeza fedha nyingi ujenzi wa tenki kubwa la maji katika Kata ya Buhembe na limeshazinduliwa na Mwenge wa Uhuru tangu Mwaka 2024 lakini Wananchi wa Kata hiyo na Kata jirani hatuoni faida ya tenki hilo lililogharimu fedha nyingi za Wananchi.
Mamlaka husika itoe majibu na itatue tatizo hilo, tunaoumia ni wengi.