Ukosefu wa maji mkoa wa Dar es Salaam,je mtaani kwako kuna maji?

Ukosefu wa maji mkoa wa Dar es Salaam,je mtaani kwako kuna maji?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Sisi wakazi wa mbezi Louis hatuna maji wiki ya pili sasa kwa taarifa za uhakika ni mkoa mzima unatatizo la ukosefu wa maji na huenda waziri Aweso akawa waziri wa tatu kutoka tanga kutimuliwa baada ya Ummy Mwalimu na Januari makamba!

Je, mtaani kwako kuna maji? Unateseka na kadhia hii ukiwa wapi?

Je, Samia amemtua mama ndoo kichwani?

Je, Samia amemzingua Aweso kama alivyosema awali?

USSR
 
Acting CEO kazi imemshinda. Siku siyo nyingi hali itazidi kuwa mbaya. Hamna maji ya kutosha mpaka next rainy season. Lugha mpya ni uchakavu wa infrastructure.
 
Sisi wakazi wa mbezi Louis hatuna maji wiki ya pili sasa , kwa taarifa za uhakika ni mkoa mzima unatatizo la ukosefu wa maji na huenda waziri Aweso akawa waziri wa tatu kutoka tanga kutimuliwa baada ya Ummy Mwalimu na Januari makamba!

Je mtaani kwako kuna maji ? ,unateseka na kadhia hii ukiwa wapi ?
Je Samia amemtua mama ndio kichwani ?
Je Samia amemzingua Aweso kama alivyosema awali ?

USSR
Maji ni tatizo la kitaifa mkuu

Tukisema tuongee sana tutaambiwa tunapingana na serikali hivyo ni kher tukae kimya sasa, maana hii nchi ilipofikia tafsir yake ni kwamba tumefungwa midogo

Mi nipo sengerema mkuu, ma staff wote wa mamlaka ya maji wananifaham

Nimepambana kwa jasho na damu kupaza sauti matokeo yake naonekana mimi ni mtata

Ziwa victoria lipo mwanza, wilaya zote za mwanza zimezungukwa na maji tupu chakuskitisha ndugu yangu, tatizo la maji hapa sengerema ni afadhali ya dar

Yaan sengerema maji ni kama anasa vile

Ila yote hayo ni kutokana na kutowajibika kwa viongozi tuliowapa ridhaa ya kutuongoza
 
Sijui kuna jini gani pale DAWASA.

Alafu hii ya DAWASA kuongezewa maeneo ya kupeleka maji wilaya za mkoa wa Pwani sijui imekaaje hii? Naona kama ni uvivu wa kufikiri wa watu wa wizara ya maji.

Hizo wilaya zina vyanzo vya maji, kwanini wilaya hizo zisiwezeshwe kuwa na mamlaka zake ndogo badala ya kuzidisha mzigo kwenye miundombinu ya DAWASA.
 
Sisi wakazi wa mbezi Louis hatuna maji wiki ya pili sasa kwa taarifa za uhakika ni mkoa mzima unatatizo la ukosefu wa maji na huenda waziri Aweso akawa waziri wa tatu kutoka tanga kutimuliwa baada ya Ummy Mwalimu na Januari makamba!

Je, mtaani kwako kuna maji? Unateseka na kadhia hii ukiwa wapi?

Je, Samia amemtua mama ndoo kichwani?

Je, Samia amemzingua Aweso kama alivyosema awali?

USSR
Suluhisho LA maji ni kiruhusu makampuni Binafsi wachimbe na kusambaza maji hutakaa usikie shida ya maji
 
Samia kafeli kila mahali!

Umeme wenyewe bado anatembelea mbeleko ya JPM...

Huyu mtu ataweza kitu gani sasa?

Yani mvua yote ya mafuriko leo hii hamna maji?
 
Sijajua tatizo ni vyanzo vya maji, miundombinu au usimamizi mbovu ktk mamlaka za maji

kwa nini maji yatoke kwa mgao
 
Ingependeza kama waziri, mtendaji.mkuu na information manager wa dawasco watoke maofisini waje waeleze tatizo.ni ninina litatuliwa vipi kwa haraka kiasi gani

Maji hapa mjini yamekuwa ya shida sana na hatuelezwi sababu za.msingi kwa wakati sahihi

Wahusika ni.kama wanakula mishahara ya bure hivi na hawajui.majukumu yao. Ilibidi Aweso apumzishwe kidogo..dsm ndio kila.kitu Tanzania uwekezaji wote makao makuu ni dsm.kodi kubwa inakusanywa dsm. Halafu maji hakuna
 
Mbezi, goba, ubungo, mabibo .. hata haja kubwa unaenda kwa timing.
 
Maji ni tatizo la kitaifa mkuu

Tukisema tuongee sana tutaambiwa tunapingana na serikali hivyo ni kher tukae kimya sasa, maana hii nchi ilipofikia tafsir yake ni kwamba tumefungwa midogo

Mi nipo sengerema mkuu, ma staff wote wa mamlaka ya maji wananifaham

Nimepambana kwa jasho na damu kupaza sauti matokeo yake naonekana mimi ni mtata

Ziwa victoria lipo mwanza, wilaya zote za mwanza zimezungukwa na maji tupu chakuskitisha ndugu yangu, tatizo la maji hapa sengerema ni afadhali ya dar

Yaan sengerema maji ni kama anasa vile

Ila yote hayo ni kutokana na kutowajibika kwa viongozi tuliowapa ridhaa ya kutuongoza
Ninafsi nimeamua kukaa kimya. Natamani sana kutoa ya moyoni ila naogopa kutekwa na wasiojulikana.
 
Samia kafeli kila mahali!

Umeme wenyewe bado anatembelea mbeleko ya JPM...

Huyu mtu ataweza kitu gani sasa?

Yani mvua yote ya mafuriko leo hii hamna maji?
Comment yangu ni sina comment.
 
Back
Top Bottom