Insidious
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 654
- 895
Kwenu Wahusika,
Naandika kutoa malalamiko yangu na kuhusu kukosekana kwa maji kutoka DAWASA katika maeneo mengi ya Tabata, kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa ambayo pia inatufanya kuingia gharama kubwa kupata maji hayo. Bill yetu ya hivi karibuni inaonyesha matumizi ya maji kuwa sifuri, ikionyesha kuwa hakuna maji yaliyotolewa.
Hata baada ya kupiga simu kwa huduma kwa wateja, tulijulishwa kwamba hawana taarifa kuhusu tatizo hili na hawawezi kutoa maelezo yoyote. Kukosekana kwa mawasiliano na uwazi huu hakukubaliki.
Soma Pia:
Tumechoka na hali hii na tunatarajia suluhisho la haraka.
Naandika kutoa malalamiko yangu na kuhusu kukosekana kwa maji kutoka DAWASA katika maeneo mengi ya Tabata, kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa ambayo pia inatufanya kuingia gharama kubwa kupata maji hayo. Bill yetu ya hivi karibuni inaonyesha matumizi ya maji kuwa sifuri, ikionyesha kuwa hakuna maji yaliyotolewa.
Hata baada ya kupiga simu kwa huduma kwa wateja, tulijulishwa kwamba hawana taarifa kuhusu tatizo hili na hawawezi kutoa maelezo yoyote. Kukosekana kwa mawasiliano na uwazi huu hakukubaliki.
Soma Pia:
- DAWASA mnazingua, mimi si wa kuamka usiku kukinga maji ya mvua ya matumizi ya nyumbani
- Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
Tumechoka na hali hii na tunatarajia suluhisho la haraka.