baunsa wa kike
Member
- Jul 25, 2014
- 83
- 36
Habari za kwenu wana JF mi nilikua naswali ,eti inawezekana Mwanamke akakosa nguvu za kike ,namaanisha kwamba hasikii kitu wakati wa kujaamiiana?...nna rafiki angu ambaye aliniambia kua yeye hajawahi kusikia raha ambayo watu wanahadithia wanaisikia wakati wa kungonoka ,so yeye hua anafanya lkn hasikii kitu,je huo ni ugonjwa? na dawa yake ni nini kama ipo?
Nimewahi kumsikia dr. ndondi akilizungumzia hili redioni, labda akamuone huyu kwani alisema anazo dawa za tatizo hili.
Habari za kwenu wana JF mi nilikua naswali ,eti inawezekana Mwanamke akakosa nguvu za kike ,namaanisha kwamba hasikii kitu wakati wa kujaamiiana?...nna rafiki angu ambaye aliniambia kua yeye hajawahi kusikia raha ambayo watu wanahadithia wanaisikia wakati wa kungonoka ,so yeye hua anafanya lkn hasikii kitu,je huo ni ugonjwa? na dawa yake ni nini kama ipo?