State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
Ripoti mpya kutoka shirika la kijasusi la marekani CIA imebaini Ukraine ndio nchi yenye idadi ndogo kabisa ya watoto wanaozaliwa lakini pia ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya vifo.
Hakika hata kama vita itaisha, Historia ya Ukraine itamkumbuka na kumlaani vibaya sana Volodimir Zelensky either akiwa hai au mfu.
Hakika hata kama vita itaisha, Historia ya Ukraine itamkumbuka na kumlaani vibaya sana Volodimir Zelensky either akiwa hai au mfu.