Ukraine: Makombora ya Urusi yameua watu 20

Ukraine: Makombora ya Urusi yameua watu 20

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Russian missiles.jpg
Makombora ya Urusi yaliyorushwa katikati ya Nchi ya Ukraine yameua takribani watu 20 kati yao wakiwemo watoto watatu na wengine 90 kujeruhiwa.

Msaidizi Mkuu wa Polisi, Kyrylo Tymoshenko amesema makombora matatu yameharibu ofisi na makazi ya watu maeneo ya Vinnytsia ambayo yapo kilometa 268 kutoka Mji Mkuu wa Kyiv.

Imeelezwa kuwa makombora hayo yalirushwa kutoka katika nyambizi ya Urusi ya Urusi.


Source: Aljazeera

==================

Officials: Russian missiles kill at least 20 in Ukraine

Russian missiles that struck a city in central Ukraine killed at least 20 people and wounded about 90 more, Ukrainian authorities said.

Ukraine’s national police said three missiles hit an office building and damaged nearby residential buildings in Vinnytsia, which is located 268km (167 miles) southwest of the capital, Kyiv.

A Russian submarine in the Black Sea fired Kalibr cruise missiles at the city, and three children were among the dead, the deputy head of Ukraine’s presidential office, Kyrylo Tymoshenko, wrote on the Telegram messaging app. The Russian military has not confirmed the attack.

The missiles ignited a fire that expanded to engulf 50 cars in an adjacent parking lot, officials said. Ukrainian police said people were reported missing. The governor of the Vinnytsia region, Serhiy Borzov, said Ukrainian air defence systems shot down another four missiles over the area.
 
View attachment 2290374
Makombora ya Urusi yaliyorushwa katikati ya Nchi ya Ukraine yameua takribani watu 20 kati yao wakiwemo watoto watatu na wengine 90 kujeruhiwa.

Msaidizi Mkuu wa Polisi, Kyrylo Tymoshenko amesema makombora matatu yameharibu ofisi na makazi ya watu maeneo ya Vinnytsia ambayo yapo kilometa 268 kutoka Mji Mkuu wa Kyiv.

Imeelezwa kuwa makombora hayo yalirushwa kutoka katika nyambizi ya Urusi ya Urusi.


Source: Aljazeera

==================

Officials: Russian missiles kill at least 20 in Ukraine

Russian missiles that struck a city in central Ukraine killed at least 20 people and wounded about 90 more, Ukrainian authorities said.

Ukraine’s national police said three missiles hit an office building and damaged nearby residential buildings in Vinnytsia, which is located 268km (167 miles) southwest of the capital, Kyiv.

A Russian submarine in the Black Sea fired Kalibr cruise missiles at the city, and three children were among the dead, the deputy head of Ukraine’s presidential office, Kyrylo Tymoshenko, wrote on the Telegram messaging app. The Russian military has not confirmed the attack.

The missiles ignited a fire that expanded to engulf 50 cars in an adjacent parking lot, officials said. Ukrainian police said people were reported missing. The governor of the Vinnytsia region, Serhiy Borzov, said Ukrainian air defence systems shot down another four missiles over the area.
Vita haina macho[emoji41][emoji41][emoji41]
 
View attachment 2290374
Makombora ya Urusi yaliyorushwa katikati ya Nchi ya Ukraine yameua takribani watu 20 kati yao wakiwemo watoto watatu na wengine 90 kujeruhiwa.

Msaidizi Mkuu wa Polisi, Kyrylo Tymoshenko amesema makombora matatu yameharibu ofisi na makazi ya watu maeneo ya Vinnytsia ambayo yapo kilometa 268 kutoka Mji Mkuu wa Kyiv.

Imeelezwa kuwa makombora hayo yalirushwa kutoka katika nyambizi ya Urusi ya Urusi.


Source: Aljazeera

==================

Officials: Russian missiles kill at least 20 in Ukraine

Russian missiles that struck a city in central Ukraine killed at least 20 people and wounded about 90 more, Ukrainian authorities said.

Ukraine’s national police said three missiles hit an office building and damaged nearby residential buildings in Vinnytsia, which is located 268km (167 miles) southwest of the capital, Kyiv.

A Russian submarine in the Black Sea fired Kalibr cruise missiles at the city, and three children were among the dead, the deputy head of Ukraine’s presidential office, Kyrylo Tymoshenko, wrote on the Telegram messaging app. The Russian military has not confirmed the attack.

The missiles ignited a fire that expanded to engulf 50 cars in an adjacent parking lot, officials said. Ukrainian police said people were reported missing. The governor of the Vinnytsia region, Serhiy Borzov, said Ukrainian air defence systems shot down another four missiles over the area.
Pa1 na propaganda zenu zote za kuichafua Russia lakini bado hajafikia hata theluthi ya mauaji ya USA aliyofanya Yemen, Iraq, Afghanistan, Vietnam, Libya, na Syria.

Bila shaka kati ya hizo nchi 2 utabaini ni ipi ina ushetani kwa zaidi ya 70%
 
Pa1 na propaganda zenu zote za kuichafua Russia lakini bado hajafikia hata theluthi ya mauaji ya USA aliyofanya Yemen, Iraq, Afghanistan, Vietnam, Libya, na Syria.

Bila shaka kati ya hizo nchi 2 utabaini ni ipi ina ushetani kwa zaidi ya 70%
Kwa hyo lengo la hoja yako ni kuhalalisha anayo fanya Urusi dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia?
 
Ukraine tatizo wanawatumia watoto na raia Kama ngao ,uzuri wanamjua Putin ni mtu anayejali Sana hawezi kuvurusha bomo eneo lenye watt na raia ,huu ndo uthaifu wa Putin na jamaa wanautumia vizuri Sana !!
 
Mrusi anapiga popote, hata makaburini anarusha kitu tu. 🙂🙂 mtajua wenyewe.
 
Si waseme tu ukweli wameuwa majeshi ya Ukraine zaidi ya 90 na wauzaji silaha kutoka magharibi walikua kwenye kikao wakapigwa bomba
 
Iskender missiles hiyo ni shida kwanza you can't intercept it,na ina precision ya 3m to the target.well done Russian force
Walikuwa katika kikao Kati ya majenerali wa Ukraine na WAWAKIRISHI wa Makampuni ya siraha toka West.
 
Back
Top Bottom