Ukraine ni watu na nusu, nguvu hiyo waitumie kiboresha uchumi wao pia

Ukraine ni watu na nusu, nguvu hiyo waitumie kiboresha uchumi wao pia

Camp 05

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
3,016
Reaction score
2,883
Mimi sio muumini wa vita ya uvamizi,lakini nipende kukiri kuwa Syria iliishi kinyonge mno kuliko Ukraine inavyojipambanua katika vita hii kati ya Russia na Ukrain.

Kila nikiwa katika kazi zangu za kila siku nikikumbuka vibaka wa kariakoo wanavyochomwa moto wa petroli na kusahau kuwa kumbe majizi yote nchi hii yamenunuliwa magari ya kifahari na yanashangiliwa kwa maamuzi yao mabovu.

Kwa mantiki hii vita ni vita japo tumeanza kwa vibaka tutawafikia tuu magaidi wa uchumi.
Vita yetu watanzania ni ya uchumi wezeshi na sio wao watupige sie tulipe tozo.Hivyo basi Ukraine anatukumbusha ya kuwa hakuna mbabe mbele ya mbinu.

Soma Pia:
Urusi ameruhusu maua yamdondokee kwa kuendekeza jeuri ya kiongozi wao wa nchi,Ikumbukwe Ukraine ina mfumo mzuri wa elimu mpaka inafikia wanaunda mfumo wa ndege inajiachie juu inapotokea ajari,lakini mbabe Putin anazuia utekelezaji wa mradi huo.

Hivyo amekuwa akiichukulia Ukraine kama sehemu chumba mojawapo ndani ya.Klemlini, Putin alianza kwa mbwembwe na kusema atazuia gesi na mengineyo lakini hakuna ajuae ya kesho,hili liwe fundisho kwa mataifa makubwa kuleta jeuri dhidi ya nchi huru,

Napenda pia kutambua mbinu ya Ukraine na kuiona kama mwanga mpya na msimu mpya utakao ondoa utumwa wa kuamini dunia ni ya wakubwa pekee,vibaraka wakuu wa Klemlin wako kimya sababu kila mmoja amestaajabishwa na mbinu hii mpya na hakuna ajuae nini kitajiri kwa siku zijazo.

Hongera Zerensky kwa Kuna na.plan B,naamini matokeo haya yataifanya Klemlin kuja meza ya mapatano nakufuta uvamizi huu.Viva Ukraine.
licensed-image.jpg
Screenshot_20240813-203454.jpg
 
Ni namna ya ucheleweshaji tu ila Ukraine mwisho wa siku lazima ianguke... kikubwa ni muda tu
 
Urusi kubwa Jinga na Huyu Mzee Huu Mwaka Atakufa Ili Kuwe na Amani Hapo ndio Maana ya Vita Unaletewa Kwako Kabisa alafu wananchi Waone Adha ya Kukimbia kimbia na hapo Ndege Bado haijaanza Zile purukushani hapo Moscow hapo Nguvu Ipo Kwa wananchi ndio wataamua Nini watake wamtoe Putin Amani Irudi au Putin aendelee Madalakani Alfu Vita ndio vipo huko Sasa na Uzur Ukraine Washajitoa mhanga Sasa Tatizo ni huko Upande wa Pili Raia Wapo tayari kuishi kama Digidigi Wakati washazoea Raha
 
Urusi kubwa Jinga na Huyu Mzee Huu Mwaka Atakufa Ili Kuwe na Amani Hapo ndio Maana ya Vita Unaletewa Kwako Kabisa alafu wananchi Waone Adha ya Kukimbia kimbia na hapo Ndege Bado haijaanza Zile purukushani hapo Moscow hapo Nguvu Ipo Kwa wananchi ndio wataamua Nini watake wamtoe Putin Amani Irudi au Putin aendelee Madalakani Alfu Vita ndio vipo huko Sasa na Uzur Ukraine Washajitoa mhanga Sasa Tatizo ni huko Upande wa Pili Raia Wapo tayari kuishi kama Digidigi Wakati washazoea Raha
Kwa akili zenu mnafikiri mgogoto au ugomvi wa Ukraine na Urusi umeanza na Putin. Ni sawasawa na kusema mgogoro wa Israel na Palestina umesababishwa ns Netanyahu.
Hizi mambo hata aje kiongozi mwingine zaidi ya Putin..mwendo ni mdundo tu...tena inaweza kuwa hatari zaidi.
Pia Ukraine inaumizwa tu..millions wameondoka, vifo ni vya kutosha..Je hapo kuna fahari yoyote??? Ukraine, Russia & Belarus ni wate walewale tu..hata ugomvi wao ni kama wa ndugu..nfo maana hata Russia wako makini sana...upande wa pili Ukraine ndo wanatake that advantage ili kupata symphathy..wanafanya mambo very risk na ya ajabu ili kuprovoke....
Hii vita itaenda mdogo mdogo hivi hivi..mpaka mmoja wapo aombe maji
 
Kwa akili zenu mnafikiri mgogoto au ugomvi wa Ukraine na Urusi umeanza na Putin. Ni sawasawa na kusema mgogoro wa Israel na Palestina umesababishwa ns Netanyahu.
Hizi mambo hata aje kiongozi mwingine zaidi ya Putin..mwendo ni mdundo tu...tena inaweza kuwa hatari zaidi.
Pia Ukraine inaumizwa tu..millions wameondoka, vifo ni vya kutosha..Je hapo kuna fahari yoyote??? Ukraine, Russia & Belarus ni wate walewale tu..hata ugomvi wao ni kama wa ndugu..nfo maana hata Russia wako makini sana...upande wa pili Ukraine ndo wanatake that advantage ili kupata symphathy..wanafanya mambo very risk na ya ajabu ili kuprovoke....
Hii vita itaenda mdogo mdogo hivi hivi..mpaka mmoja wapo aombe maji
Embu tupe idadi ya waliokufa huko Ukraine na warusi ili tulinganishe na kuamini usemacho mkuu..!
 
Mimi sio muumini wa vita ya uvamizi,lakini nipende kukiri kuwa Syria iliishi kinyonge mno kuliko Ukraine inavyojipambanua katika vita hii kati ya Russia na Ukrain.

Kila nikiwa katika kazi zangu za kila siku nikikumbuka vibaka wa kariakoo wanavyochomwa moto wa petroli na kusahau kuwa kumbe majizi yote nchi hii yamenunuliwa magari ya kifahari na yanashangiliwa kwa maamuzi yao mabovu.

Kwa mantiki hii vita ni vita japo tumeanza kwa vibaka tutawafikia tuu magaidi wa uchumi.
Vita yetu watanzania ni ya uchumi wezeshi na sio wao watupige sie tulipe tozo.Hivyo basi Ukraine anatukumbusha ya kuwa hakuna mbabe mbele ya mbinu.

Soma Pia:
Urusi ameruhusu maua yamdondokee kwa kuendekeza jeuri ya kiongozi wao wa nchi,Ikumbukwe Ukraine ina mfumo mzuri wa elimu mpaka inafikia wanaunda mfumo wa ndege inajiachie juu inapotokea ajari,lakini mbabe Putin anazuia utekelezaji wa mradi huo.

Hivyo amekuwa akiichukulia Ukraine kama sehemu chumba mojawapo ndani ya.Klemlini, Putin alianza kwa mbwembwe na kusema atazuia gesi na mengineyo lakini hakuna ajuae ya kesho,hili liwe fundisho kwa mataifa makubwa kuleta jeuri dhidi ya nchi huru,

Napenda pia kutambua mbinu ya Ukraine na kuiona kama mwanga mpya na msimu mpya utakao ondoa utumwa wa kuamini dunia ni ya wakubwa pekee,vibaraka wakuu wa Klemlin wako kimya sababu kila mmoja amestaajabishwa na mbinu hii mpya na hakuna ajuae nini kitajiri kwa siku zijazo.

Hongera Zerensky kwa Kuna na.plan B,naamini matokeo haya yataifanya Klemlin kuja meza ya mapatano nakufuta uvamizi huu.Viva Ukraine.
Hamas na Ukrain ni wanaume
 
Urusi kubwa Jinga na Huyu Mzee Huu Mwaka Atakufa Ili Kuwe na Amani Hapo ndio Maana ya Vita Unaletewa Kwako Kabisa alafu wananchi Waone Adha ya Kukimbia kimbia na hapo Ndege Bado haijaanza Zile purukushani hapo Moscow hapo Nguvu Ipo Kwa wananchi ndio wataamua Nini watake wamtoe Putin Amani Irudi au Putin aendelee Madalakani Alfu Vita ndio vipo huko Sasa na Uzur Ukraine Washajitoa mhanga Sasa Tatizo ni huko Upande wa Pili Raia Wapo tayari kuishi kama Digidigi Wakati washazoea Raha
Nashukuru umekuja vizuri
 
Urusi kubwa Jinga na Huyu Mzee Huu Mwaka Atakufa Ili Kuwe na Amani Hapo ndio Maana ya Vita Unaletewa Kwako Kabisa alafu wananchi Waone Adha ya Kukimbia kimbia na hapo Ndege Bado haijaanza Zile purukushani hapo Moscow hapo Nguvu Ipo Kwa wananchi ndio wataamua Nini watake wamtoe Putin Amani Irudi au Putin aendelee Madalakani Alfu Vita ndio vipo huko Sasa na Uzur Ukraine Washajitoa mhanga Sasa Tatizo ni huko Upande wa Pili Raia Wapo tayari kuishi kama Digidigi Wakati washazoea Raha
Vikwazo tu vinawakosesha amani sembuse vita? Embu nambia hivyo vitongoji zaidi ya 20 vilivyotekwa, kuna amani hapo tena mkuu?
 
Kwa akili zenu mnafikiri mgogoto au ugomvi wa Ukraine na Urusi umeanza na Putin. Ni sawasawa na kusema mgogoro wa Israel na Palestina umesababishwa ns Netanyahu.
Hizi mambo hata aje kiongozi mwingine zaidi ya Putin..mwendo ni mdundo tu...tena inaweza kuwa hatari zaidi.
Pia Ukraine inaumizwa tu..millions wameondoka, vifo ni vya kutosha..Je hapo kuna fahari yoyote??? Ukraine, Russia & Belarus ni wate walewale tu..hata ugomvi wao ni kama wa ndugu..nfo maana hata Russia wako makini sana...upande wa pili Ukraine ndo wanatake that advantage ili kupata symphathy..wanafanya mambo very risk na ya ajabu ili kuprovoke....
Hii vita itaenda mdogo mdogo hivi hivi..mpaka mmoja wapo aombe maji
Ni nani alianza kuivamia Crimea? Nani ameruhusu vikosi kuvamia nchi ya mwenzie?
 
Back
Top Bottom