Ukraine waipiga Sudan

Ukraine waipiga Sudan

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita kati ya Urusi na Ukraine sasa vimeshaanza kuvuka mipaka rasmi baada ya droni za Ukraine kutajwa kupambana na kikosi cha Wagner ndani ya Sudan.
 
Mpaka hapo nafikiri tukubaliane tu kwamba wale wanaosema urusi anafanya demilitarization huko Ukraine wanaota ndoto ya mchana





⚡Military intelligence spokesperson Andrii Yusov said in an interview with Radio NV on Sept. 20 that he cannot confirm nor deny Ukraine's role in a strike against Wagner-backed militia in Sudan.

However, he said that the incident signals decreasing Russian influence in Africa and is a consequence of Moscow's criminal activities.⚡
 
Mpaka hapo nafikiri tukubaliane tu kwamba wale wanaosema urusi anafanya demilitarization huko Ukraine wanaota ndoto ya mchana





⚡Military intelligence spokesperson Andrii Yusov said in an interview with Radio NV on Sept. 20 that he cannot confirm nor deny Ukraine's role in a strike against Wagner-backed militia in Sudan.

However, he said that the incident signals decreasing Russian influence in Africa and is a consequence of Moscow's criminal activities.⚡
Ni mtazamo ambao sio sahihi.Hiyo ni dalili mbaya ya vita.
Kama ni kweli basi Ukraine walitumia droni na uwezekano ni kwamba hawakuzirusha kutoka Ukraine bali walisafiri nazo mpaka Sudan halafu ndio wakachagua maeneo ya kupiga.Vyenginevyo walipewa coordinates na US na zikarushwa kutoka vituo vya US vilivyopo Djibot au maeneo ya nchi za kiarabu.Hicho ni kitu kidogo sana kwa Urusi ikiamua.Kwanza ana washirika karibu na maeneo ya US au pia anaweza akarusha droni na kupiga hata balozi za Ukraine zilizo nchi nyengine.
 
Ni mtazamo ambao sio sahihi.Hiyo ni dalili mbaya ya vita.
Kama ni kweli basi Ukraine walitumia droni na uwezekano ni kwamba hawakuzirusha kutoka Ukraine bali walisafiri nazo mpaka Sudan halafu ndio wakachagua maeneo ya kupiga.Vyenginevyo walipewa coordinates na US na zikarushwa kutoka vituo vya US vilivyopo Djibot au maeneo ya nchi za kiarabu.Hicho ni kitu kidogo sana kwa Urusi ikiamua.Kwanza ana washirika karibu na maeneo ya US au pia anaweza akarusha droni na kupiga hata balozi za Ukraine zilizo nchi nyengine.
Urusi akiamua kupiga balozi za Ukraine ajiandae na yeye balozi zake kupigwa maana sasa hivi palipofikia ni piga nikupige. Kama jamaa wanapiga mpaka Kremlin itakua huko kwenye balazi
 
Urusi akiamua kupiga balozi za Ukraine ajiandae na yeye balozi zake kupigwa maana sasa hivi palipofikia ni piga nikupige. Kama jamaa wanapiga mpaka Kremlin itakua huko kwenye balazi
ndio tukasema dalili ni mbaya.Hapo zamani waliokuwa na uwezo wa kupiga mbali ilikuwa ni wababe wachache.Sasa wengine wadogo wakikasirika wanaweza kupiga mpaka ikulu.
Saudi Arabia mwanzo walijiona ni wababe sana kwa kumiliki silaha nyingi walizonunua kutoka US.Lakini walipoona Hooth wanapiga mpaka Jeddah bila kikwazo wakaona kupigana hakuna maana tena.
Ukraine akizidi kupanda kichwa na kupiga piga ovyo Urusi atapanda hasira na huenda asiamue kufanya kama Saudia bali aongeze maumivu kwa marafiki wa Ukraine.
 
Kwani mkuu hawa Wagner ni Urusi? Kipindi chote urusi huwa anajifanya kujitenga nao pindi wanapofanya ukatili kivipi ajibu wakati huu wamepigwa?
Ni mtazamo ambao sio sahihi.Hiyo ni dalili mbaya ya vita.
Kama ni kweli basi Ukraine walitumia droni na uwezekano ni kwamba hawakuzirusha kutoka Ukraine bali walisafiri nazo mpaka Sudan halafu ndio wakachagua maeneo ya kupiga.Vyenginevyo walipewa coordinates na US na zikarushwa kutoka vituo vya US vilivyopo Djibot au maeneo ya nchi za kiarabu.Hicho ni kitu kidogo sana kwa Urusi ikiamua.Kwanza ana washirika karibu na maeneo ya US au pia anaweza akarusha droni na kupiga hata balozi za Ukraine zilizo nchi nyengine.
 
Back
Top Bottom