Ukraine wakinukisha Kharkiv pia, HIMARS zachana anga

Mna fikiri Super Power Russia atayaachia maeneo aliyoteka ama hizo Himars za misaada ziyasaidia lolote? Niwasaidie Jambo hapa, Russia anaweza angamiza kabisa Ulaya.

Kiy vha
Rais wa Ukraine athibitisha wanajeshi wa Ukraine wachukua Kharkiv

May be in his wild dreams - ukimsikiliza Zelensky ni burudani tosha, sina shaka na ubwiaji wake wa unga unachangia katika njozi zake.
 
NATO ilianzishwa na Marekani ili azilinde nchi za uko na Urusi, tangu zaman Urusi anapenda sana kuvionea vinchi vidogo, ndo Marekani akaanzisha NATO ili azilinde
 
Ivi unajua unachokiandika au umedandia tu tren kwa mbele
 
Kwa NATO ipi?

not at the pathetic state thry sre now ....they will be annihilated
 
Hii ni lugha ya Teja Zelensky kupata msaada zaidi ...ili oneksne kuwa anashughulika ...anajitahidi kubweka ...muda uraleta majibu ya hiyo counter offebsive inayopigwa kalenda ...tangu May ...something big will happen in August [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ...August hiyooo ikapita ...
 
Na hilo la mafunzo ...Jeshi la Ukraine limekuwa mafunzoni tangu 2014 ...lilijisndaa kuja kuleta chokochokobsema Kamanda Putin akawalia yiming na sasa wanasagwa taratibu ...
 
Unaongea pumba NATO wenyewe wanaogopa kukutana USO Kwa Uso na Russia na kila siku wanalisema hili.kuhusu kuwapa silaha huwezi kumpangia Ukraine mahali pa kuchukua silaha.
Kudhihitisha hilo ...they threw everything on Russia ..except sending troops to Ukraine

Pro NATO ...hamkai kujiuliza swali rahisi mno ...Western Ukraine ..kule Lviv na Galicia....mbona kuko accessible....kwanini jamaa hawatii team kule wakaweka hata videge vyao ama hata battalion 1?[emoji848]
 
Kiy vha

May be in his wild dreams - ukimsikiliza Zelensky ni burudani tosha, sina shaka na ubwiaji wake wa unga unachangia katika njozi zake.
Eti mji umekombolewa ..bendera inatwekwa kwenye paa la banda fulani ...kama mwanaume atuonyeshe video wakiweka bendera town square ama kwenye authority blg yoyote
 
Mna fikiri Super Power Russia atayaachia maeneo aliyoteka ama hizo Himars za misaada ziyasaidia lolote? Niwasaidie Jambo hapa, Russia anaweza angamiza kabisa Ulaya.
Kwani atayaachiwa kwa kupenda?bali unalazimishwa!!Russia hana uwezo huo eti kuiangamiza ulaya!!!unafikiria ulaya ni CAR?,
 
Kiy vha

May be in his wild dreams - ukimsikiliza Zelensky ni burudani tosha, sina shaka na ubwiaji wake wa unga unachangia katika njozi zake.
Mbwiaji kawasotesha kutoka siku 3 mpaka miezi dadeki wana dictatorship hoi[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…