Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kamanda wa vikosi vya ardhini wa Ukraine Colonel General Olesksandr Syrskyi amekiri kupokea shehena ya mabomu haramu yanayoripuka kwa kuchawanyika na kwamba wataanza kuyatumia siku za hivi karibuni.
Wakati huo huo waandishi wa habari wameiona mizinga aina ya American M777 howitzers karibu na maeneo ya Bakhmut ambayo ndiyo yenye uwezo wa kurusha mabomu hayo.
Kamanda Syrkkyl aliyasema hayo hapo jana Julali 18 alipokuwa akizungumza na kituo cha habari cha BBC.Moja ya faida ya kutumia mabomu hayo alisema ni kwamba yataweza kuwauwa askari wa Urujsi kwa wingi na hiyo itakuwa ni salamu itakayowafikia familia za askari hao waliobaki majumbani.
Ikulu ya Marekani kwa upande wake imesema imetoa msaada huu kwa Ukraine kuwawezesha askari wa Ukraine kuzipenya ngome za jeshi la Urusi kwani bila hivyo Ukraine hawatoweza ng'o kupenya ngome hizo.Kwa upande mwengine uamuzi huo umekuja wakati ambapo Marekani imepungukiwa mno na silaha za kuipa Ukraine kuendelea na mashambulizi yake ya kurudisha maeneo yaliyotekwa na Urusi.
Yahoo News
Wakati huo huo waandishi wa habari wameiona mizinga aina ya American M777 howitzers karibu na maeneo ya Bakhmut ambayo ndiyo yenye uwezo wa kurusha mabomu hayo.
Kamanda Syrkkyl aliyasema hayo hapo jana Julali 18 alipokuwa akizungumza na kituo cha habari cha BBC.Moja ya faida ya kutumia mabomu hayo alisema ni kwamba yataweza kuwauwa askari wa Urujsi kwa wingi na hiyo itakuwa ni salamu itakayowafikia familia za askari hao waliobaki majumbani.
Ikulu ya Marekani kwa upande wake imesema imetoa msaada huu kwa Ukraine kuwawezesha askari wa Ukraine kuzipenya ngome za jeshi la Urusi kwani bila hivyo Ukraine hawatoweza ng'o kupenya ngome hizo.Kwa upande mwengine uamuzi huo umekuja wakati ambapo Marekani imepungukiwa mno na silaha za kuipa Ukraine kuendelea na mashambulizi yake ya kurudisha maeneo yaliyotekwa na Urusi.
Yahoo News