Ukristo ndo njia peke ilio bakia kunusuru dunia hii

Ukristo ndo njia peke ilio bakia kunusuru dunia hii

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Huyu mchungaji wa Kenya katoa ushuhuda na kupongeza Wakristo kwamba ndo njia peke ilio baki kunusuru dunia hi, msikilize kwa makini af ufanye comment yako kama ni kweli analo sema au laa, utowe na sababu za kukubali au kukata.
 
Huyu mchungaji wa Kenya katoa ushuhuda na kupongeza Wakristo kwamba ndo njia peke ilio baki kunusuru dunia hi, msikilize kwa makini af ufanye comment yako kama ni kweli analo sema au laa, utowe na sababu za kukubali au kukata.View attachment 3231073
Jitahidi kusikiliza clip yote kabla ya kufanya comment yako.
 
Ni ujinga kwa wale wasio jua dini zao ila ni heri kwa wale wanao jitambua na kuijua hizuri.
We nae una dini!? tuambie dini yako ila isiwe ya kuletwa na waarabu wala wazungu
 
We nae una dini!? tuambie dini yako ila isiwe ya kuletwa na waarabu wala wazungu
We vip ukuristo uliletwa na waarabu au na wazungu acha ubaguzi kila ni lazima kiwe na muanzilishi wote hatuwezi kua waazilishi.
 
Tukubali tu white people wametuweza na wanatuzidi kila kitu! wewe ndio mbaguzi kwasabu umeona dini za wazee wetu hazifai ukaamua uwakatae wazee uungane na watu weupe! au hujui maana ya dini!?
 
Tukubali tu white people wametuweza na wanatuzidi kila kitu! wewe ndio mbaguzi kwasabu umeona dini za wazee wetu hazifai ukaamua uwakatae wazee uungane na watu weupe! au hujui maana ya dini!?
Hapana kuna dini ambazo ni natural japo ziliazilishwa na wstu fulani, ila mafundisho yake ni nayural kwa kila binaadamu.
 
Back
Top Bottom