Ukristo wa Afrika" Kuanzishwa Tanzania ,Lengo kuachana na Ukristo wa Ulaya ulioletwa Afrika Kwa Msingi wa ukoloni na unyonyaji

Ukristo wa Afrika" Kuanzishwa Tanzania ,Lengo kuachana na Ukristo wa Ulaya ulioletwa Afrika Kwa Msingi wa ukoloni na unyonyaji

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687

Muinjilisti na Msomi wa dini bwana Sylvanus Ngemera amesema anatarajia kuasisi Dini Mpya ya kikristo yenye msingi wa utamaduni na mila za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara itakayoutwa "African Orthodox Derekh Church" Ili kuachana na Ukristo wa Mzungu ambao umejikita kutetea utamaduni wa mzungu na kuhimiza ukoloni mamboleo Kwa mtindo wa utoaji Fedha au sadaka.

Mwinjilisti huyo amesema watatumia biblia hii hii ila yenye tafsiri ya Kiebrania badala ya kiyunani(Rumi).

Aidha amesema Dini hii inalenga kupambana na ukoloni wa dini,mmomonyoko wa maadili na italeta Nguvu za Kimungu za kupambana na uovu ikiwemo uchawi,waganga na utapeli unaoendelea kwani Ukristo huu wa Mzungu ni vigumu kutambua ikiwa ni Imani halali au utapeli na kwamba Ukristo unaonekana kama mzaha.👇

=========================

Wakati dini ikihusishwa na utamaduni wa kule ilipotoka, Mwinjilisti Silvanus Ngemera (67) ameanza mchakato kuanzisha madhehebu ya Ukristo yatakayorejesha utamaduni wa Mwafrika.

Madhehebu hayo yatakayoitwa Derekh yanalenga kupambana na mmomonyoko wa maadili, kuachana na dhambi, pamoja na kuuishi utamaduni wa asili ya Mwafrika.

Mwinjilisti Ngemera amesema Waafrika wanapaswa kutambua kuwa, yapo madhehebu yao, ambayo kila mtu mwenye Mungu ndani yake ana uwezo wa kutenda kwenye dhehebu la Derekh na si watu maalumu kama ilivyozoeleka.

Ameyasema hayo leo Ijumaa ya Septemba 6, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

"Ukristo huu mpya hauna ngazi ndani yake, unamuhusu Mwafrika mwenyewe. Hakutakuwa na mahubiri ya fedha na hatutakuwa na nyimbo wala vyombo vya Kizungu kwenye masinagogi yetu tutakuwa na nyimbo zetu za asili za makabila.

Mwinjilisti Ngemera ambaye ni mkereketwa wa maendeleo ya Waafrika weusi ambao anawaona ni watu wa kubaki nyuma katika mambo mengi hivyo ameamua wa dhehebu hilo kwa ajili ya kuleta mapinduzi kwao.




My Take
Kama dini hii itaondoa masharti ya kipuuzi ya Kuoa Mke mmja yaliyowekwa na Wazungu Kwa lengo la kudhibiti uzazi Afrika nitakuwa wa kwanza kujiunga.

Wasambaza haraka hiyo biblia na Muongozo wake tuusome.African Religion and Churches zimekuwepo kabla ya ukoloni kuja.

Naunga mkono vision hii ya Muinjilisti.👇👇

Soma Pia: Athari za ukoloni na dini mpya kwa jamii ya kiafrika
 

Attachments

  • Why_it_s_illegal_to_impregnate_a_woman_before_having_the_first_wife⁉️⁉️_#AfricanPhilosophy_#ma...mp4
    4.8 MB
Emotions...
Labda awatafute kina Luka, Petro na Yuda wake...

Injili inayohubiriwa kwa mataifa yote ni ya Yesu Kristo pekee .

Hizi mbwembwe za freedom fighters ni za kizamani sana ...

Waafrika waliopewa dhamana baada ya mkoloni waliwasumbua sana na kuwatengenezea wenzao umasikini wa kudumu..

Laaabdaa kama anataka his equal share as well .
 
Muinjilisti na Msomi wa dini bwana Sylvanus Ngemera amesema anatarajia kuasisi Dini Mpya ya kikristo yenye msingi wa utamaduni na mila za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara itakayoutwa "African Orthodox Derekh Church" Ili kuachana na Ukristo wa Mzungu ambao umejikita kutetea utamaduni wa mzungu na kuhimiza ukoloni mamboleo Kwa mtindo wa utoaji Fedha au sadaka.

Mwinjilisti huyo amesema watatumia biblia hii hii ila yenye tafsiri ya Kiebrania badala ya kiyunani(Rumi).

Aidha amesema Dini hii inalenga kupambana na ukoloni wa dini,mmomonyoko wa maadili na italeta Nguvu za Kimungu za kupambana na uovu ikiwemo uchawi,waganga na utapeli unaoendelea kwani Ukristo huu wa Mzungu ni vigumu kutambua ikiwa ni Imani halali au utapeli na kwamba Ukristo unaonekana kama mzaha.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_lK7I-oir3/?igsh=MXQ5eWF3a3kzbHZydw==
View attachment 3089158


My Take
Kama dini hii itaondoa masharti ya kipuuzi ya Kuoa Mke mmja yaliyowekwa na Wazungu Kwa lengo la kudhibiti uzazi Afrika nitakuwa wa kwanza kujiunga.

Wasambaza haraka hiyo biblia na Muongozo wake tuusome.African Religion and Churches zimekuwepo kabla ya ukoloni kuja.

Naunga mkono vision hii ya Muinjilisti.👇👇

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1832069466718453917?t=styPP9XsLfjK01RxnTGCjA&s=19
View attachment 3089160

Upigaji tu na ulaghai
 
Emotions...
Labda awatafute kina Luka, Petro na Yuda wake...

Injili inayohubiriwa kwa mataifa yote ni ya Yesu Kristo pekee .

Hizi mbwembwe za freedom fighters ni za kizamani sana ...

Waafrika waliopewa dhamana baada ya mkoloni waliwasumbua sana na kuwatengenezea wenzao umasikini wa kudumu..

Laaabdaa kama anataka his equal share as well .
Hao wote uliowataja hawakuwa Wazungu na Wala hawakuwa na masharti ya Wazungu.

Hata Kanisa la Orthodox la Russia hakina Mahubiri ya Kanisa la Rumi.

Mwisho lazima ujitetee Kwa sababu wewe ni sehemu ya wanufaika wa utapeli na upigaji mliko ndani ya mfumo wa dini ya Kikristo iliyopakwa sura ya unyonyaji na Wazungu.

Kila mtu atashinda mechi zake.
 
Kimfanano kuna tofauti yoyote kati ya mkono wa kushoto na kulia?
Tofauti ipo sana kwani Biblia ya Kirumi Ina utamaduni wa wakoloni na Biblia ya Kiebrania Ina uhalisia wa Ukristo so ni jukumu letu Sasa kuweka Muongozo ya kitamaduni na maadili ya Kiafrika.
 
Hao wote uliowataja hawakuwa Wazungu na Wala hawakuwa na masharti ya Wazungu.

Hata Kanisa la Orthodox la Russia hakina Mahubiri ya Kanisa la Rumi.

Mwisho lazima ujitetee Kwa sababu wewe ni sehemu ya wanufaika wa utapeli na upigaji mliko ndani ya mfumo wa dini ya Kikristo iliyopakwa sura ya unyonyaji na Wazungu.

Kila mtu atashinda mechi zake.
Bila Roma hakuna ukristo mkuu....

Iwe ni utapeli au ukwel au vyovyote vile iwavyo kuondokana na dogma ya Rumi ni kitu hakiwezekani...
Orthodox ya Russia wanafundisha kwa kutumia vitabu Gani?
 
Tofauti ipo sana kwani Biblia ya Kirumi Ina utamaduni wa wakoloni na Biblia ya Kiebrania Ina uhalisia wa Ukristo so ni jukumu letu Sasa kuweka Muongozo ya kitamaduni na maadili ya Kiafrika.
Kwa hiyo biblia ikiwa na tafsiri ya kiebrania tayari inakuwa siyo ya "mzungu"?
 
Kwa hiyo biblia ikiwa na tafsiri ya kiebrania tayari inakuwa siyo ya "mzungu"?
Elewa mada,biblia ya kwanza iliandikwa Kwa Lugha hiyo ya Kiebrania(uhalisia?,biblia iliyotafsiriwa kirumi iliongezewa na kuondoshwa Baadhi ya mambo in favor ya Wazungu Kwa malengo ya upigaji na wewe unajua vyema.

Pili Kuna madai kwamba hata Waisrael halisi walikuwa watu weusi na sio Hawa Wazungu waliojigeuza kuwa Waisrael.
 
Bila Roma hakuna ukristo mkuu....

Iwe ni utapeli au ukwel au vyovyote vile iwavyo kuondokana na dogma ya Rumi ni kitu hakiwezekani...
Orthodox ya Russia wanafundisha kwa kutumia vitabu Gani?
Sasa hapo ndio Kila mtu atashinda mechi zake.Watuletee tuu hiyo biblia na dini Mpya Ili wa Roma mbakie Roma huko huko na wengine tuende upande mwingine.
 
Back
Top Bottom