Uktongoza Dumu Student First date Anakuja na Marafiki zake! hata 10 why?


Fataki wewe... unatongoza vitoto vya chipsi mayai unategemea nini? hebu jenga mazoea ya kutongoza watu waliokomaa akili uone kama atakuja na mtu... eh mpaka leo bado mnadate vitoto vya kubebana kama msafara wa siafu?? hayo mambo ya kilongi kweli ckujua kama yanaendelea hd leo! anwy hiyo ndio gharama ya cheap labour ... bure ghali kaka!!
 
Ni kweli bana,mimi enzi zangu shule/chuo akija na rafiki yake nae namtongoza akitoa nafasi hata dakika 5.Wakawa wanaambizana mwishowe nikiita mtu anakuja peke yake.Wakija zaidi ya wawili nawaacha pale na bili silipi.
Hapo Ulimuweza Cha muhimu Pesa uwe nazo za Kutosha yaelekea hukukamuliwa Fresh!

Ulivumilia Mchizi Kichizi! lakini nadhani uliumia sana moyoni!

tena sio lifataki tu ila ni buzi ambalo halina mipango ya fedha zake kazi kuzigawa kwa watu wasio na faida wala shukran. period
Fataki wanaanzia umri gani kwani? Pesa si Tatizo mbele ya Mwanamke kama yeye ndie atazitumia na si mwingine zaidi ya mlengwa.



Ndio nachunguzia hapa jf na nishapata mwangaza Sante mkuu...

ndio ukome,wanafunzi wa nini na wewe?
Wanataka wenyewe! nishawakimbia hata hivyo...!

[h=2] Uktongoza Dumu Student First date Anakuja na Marafiki zake! hata 10 why?[/h]
Hello Vivian



kwanin utongoze wanfunzi your not a good boy?
Sometime unahitaji kuongeza Vitamin x


Ita huduma bili kwao, uwe makini kumpa taarifa Bar man au bar maid

Lazima ujifunze ukauzu.
Imekaa poa poa kama Ng'ambo vile Ndio Inavyokuwa hata Waje Ukoo Mzima WAkiwa wametoka Kitchen Party Wanajihudumia wenyewe! ila Bongo mh!
 
Haha Mahunga kwani Sometime wanakuja kama ajali tu tena huwa na moto kweli kweli Mkipiga piga story kidogo anachomeka maneno ya uvumbuzi na mara anapiga kizinga so utajua tu huyu....! kaja sasa utaacha kum date? Rose Muhando yalimshinda akaomba Mungu Ampe Uvumilivu!

Mwanamme Ni Ngumu Kumkatalia Mwanamke na Mwanamke akiwa anamtafuta mbinu zake anazionesha wazi ili umedondokee.. Wanafunzi si wote wadogo kuna wa chuo ni wakubwa kabisa hao oi oi oi...
 
Ni kweli ata mimi ni grown up huwa nikiitwa am going with my friend maana najua I won't be comfortable will need sm1 buutttt second date will handle
 
unacheza na wanafunzi nni wale dawa yao siku ya 1 tu unamuitia gesti ka watakuja wengi babua wote
 

Je, mwishoni uwa unaona ndani? Dawa yao ni kuwatafuna wote hao mmoja baada ya mwingine!
 
Ni kweli ata mimi ni grown up huwa nikiitwa am going with my friend maana najua I won't be comfortable will need sm1 buutttt second date will handle
Haha Thanks Jeni hapo umenena maana nilikuwa najiuliza ni kwanini? Na hebu niambie kuna wasichana wengine huenda zaidi ya wawili inakuwa too much hata Date inapoteza muelekeo inageuka kikao!

Kama unakuja na someone Sikuwezi nawe pia
 

hahaha Sajenti inabidi upande cheo kwa kumanage hao watoto ni noumer...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…