Uku azam fc na lipuli uku Liverpool na Spurs.

Uku azam fc na lipuli uku Liverpool na Spurs.

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
Siku hizi naona kama ratiba za mpira wa miguu zinaenda sawa katika Nchi nyingi duniani. Leo pale uwanja wa Ilulu Lindi mjini utapigwa mtanange wa kusaka timu itakayo wakilisha Nchi katika michuano ya kombe la shirikisho barani africa. Hope Azam atashinda maana Lipuli wanaweza shinda ukakuta wanakosa nauli yakwenda kucheza mechi za nje ya Nchi.

Usiku sasa kipute kikubwa kinakuwa zidi ya timu yangu majogoo wekundu wa Anflied zidi ya wagonga nyudo wa London Spurs Mtanange utapigwa pale Madrid kuanzia saa nne usiku saa za africa mashariki. Kwa wale wanaopenda kubeti hii mechi msibeti kabisa maana hii ngoma inaweza amliwa na matuta na kwa wale wanaopenda kubeti kwa both team score hii ngoma inaweza isha bilabila, kwahyo wadau twende taratibu kabisa.
 
Wagonga nyundo !!!!???
Mkaushie bana maana inabidi umpe heshima alichokiandika mengine ni makosa ya kawaida itakua kachanganya tuu kwani naamini anajua wagonga nyundo ni Westham.
 
Lipuli timu ya nyumbani tunashinda hii mechi na uzamini tutaupata tuu kwani Iringa matajiri wakuidhamini lipuli wapo ila basi tu wanafanya kimya kimya wakijitangaza utawajua ila mwingine yupo Tena Kiongozi wa usajiri katika timu kubwa Tanzania
 
Lipuli timu ya nyumbani tunashinda hii mechi na uzamini tutaupata tuu kwani Iringa matajiri wakuidhamini lipuli wapo ila basi tu wanafanya kimya kimya wakijitangaza utawajua ila mwingine yupo Tena Kiongozi wa usajiri katika timu kubwa Tanzania
 
Leo Liverpool watajua kwa vitendo maana ya "Hotspurs"
 
Back
Top Bottom