Ukuaji wa kasi wa mkoa wa Geita

Ukuaji wa kasi wa mkoa wa Geita

emmadeclassic

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
304
Reaction score
131
Niliondoka geita miaka miwili iliyopita, pakiwa ni pakawaida sana, lakini baada ya miaka miwili nimekuta gorofa za kutosha, nyumba za maana, mitaa ina lami, watu wanadrive ndinga kali kali, yani gari ya kawaida ni Crown Athlete, Range za mwaka 2021 za kutosha, vyuma vya Mjerumani ndo usiseme, Vits na IST za kuhesabu sana.

Hawa watu pesa wanatoa wapi? Ni migodi tu au kuna issues zingine?
 
Wewe ndio ulikuwa mchawi watu wasifanikiwe [emoji2]umeondoka tu watu wamejenga maghorofa
 
Niliondoka geita miaka miwili iliyopita, pakiwa ni pakawaida sana, lakini baada ya miaka miwili nimekuta gorofa za kutosha, nyumba za maana, mitaa ina lami, watu wanadrive ndinga kali kali, yani gari ya kawaida ni Crown Athlete, Range za mwaka 2021 za kutosha, vyuma vya Mjerumani ndo usiseme, Vits na IST za kuhesabu sana.

Hawa watu pesa wanatoa wapi? Ni migodi tu au kuna issues zingine?
Hizo Gari kari zimeundwa hapk Geita? Kwa akili hizi za Waafrica wacha tuendelee kuwa masoko ya wenye akili, huwezi kuja hapa kusema kuendesha gari kari ni maendeleo, saaa wanao ziunda watasemaje? Hizi akili hizi
 
Hizo Gari kari zimeundwa hapk Geita? Kwa akili hizi za Waafrica wacha tuendelee kuwa masoko ya wenye akili, huwezi kuja hapa kusema kuendesha gari kari ni maendeleo, saaa wanao ziunda watasemaje? Hizi akili hizi
Take it in a positive way,
Kwanza inabidi ujue what's the meaning of development, sio kila nchi au sehemu iliyoendelea inatengeneza gari..
 
Back
Top Bottom