Ukuaji wa samaki kambale

Ukuaji wa samaki kambale

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,746
Reaction score
2,924
Wakuu leo nimeshangaa hapa home kuna jirani alikuwa amechimba kisima cha chemchem baada ya kukitumia miezi kadhaa akakifukia yapita sasa mwaka akaamua kufukua kakutana na masamaki ya kambale hivi imekaaje wakuu kambale wanaweza kuzaliana bila kupandikiza vifaranga tena kakuta kambale mkubwa na kitoto
 
Duh nilikua napata hasara kumbe ngoja niwawekee tope nipunguze gharama zisizo za lazima maana namimi nimefuga hao kambale na nilikua nawalisha kila siku


Chakula cha Kambale ni tope tu au kinyesi…..elekeza bomba lako la kinyesi humo shimoni mwao, baada ya mwezi tu utaona mikambale hiyo mikubwa kama tembo au nyati….mavi ni mbolea nzuri sana kwa Kambale.
 
Chakula cha Kambale ni tope tu au kinyesi…..elekeza bomba lako la kinyesi humo shimoni mwao, baada ya mwezi tu utaona mikambale hiyo mikubwa kama tembo au nyati….mavi ni mbolea nzuri sana kwa Kambale.
Pia kuna jamaa alinambia niwape hata kinyesi cha ng'ombe kibichi vp nacho si ni kizuri au cha binadamu ndo kinafaa mkuu
 
Kumbe, wale wa bwawa la mavi arusha tumeshtuka
hawa mara nyingi wanafugwa kwenye mashimo ya mavi ndio wanakua vizuri nakumbuka chuo cha kleruu kilikuwa kinatiririsha maji ya chooni mbaka sekondari lugalo kambale walikuwa wengi
 
Chakula cha Kambale ni tope tu au kinyesi…..elekeza bomba lako la kinyesi humo shimoni mwao, baada ya mwezi tu utaona mikambale hiyo mikubwa kama tembo au nyati….mavi ni mbolea nzuri sana kwa Kambale.


Kumbe ndiyo maana Kambale anaitwa 'Mzee wa Tigo,' kwa ajili ya kupenda tope na kinyesi….Jamani waswahili wana misemo ya hajabu. Wapemba wana msemo kuwa Kambale hata kama amekunjwa na kuuzwa gengeni usimwache awe nyuma yako, atakuumbua tu, kumbe nao wana maana yao. Kambale simli tena na wala sigeuki kumpa mgongo nikienda gengeni tena, hawana adabu kabisa.
 
Back
Top Bottom