mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Na je yale maujiuji yanayokaa kwenye utumbo mkubwa wa wanyama kama ng'ombe na mbuzi ambao humwagwa tu hata mbwa huwa hawali unafaa ukiumwaga kwenye bwawa?
Yep kwa Kambale ule ni sawa na pilau yake. Kwa kiingereza, Kambale anaitwa a river janitor, yaani msafishaji wa uchafu wote wa majini, mizoga, vinyesi vya wanyama, yaani kila kitu kwa Kambale ni poa tu.
Boss inategemea unafuga kwa dhumuni gan ..kama ni biashara endelea kulisha tena lisha vizur ukiwajazia tope utasubir sana mpaka wakueDuh nilikua napata hasara kumbe ngoja niwawekee tope nipunguze gharama zisizo za lazima maana namimi nimefuga hao kambale na nilikua nawalisha kila siku
Boss inategemea unafuga kwa dhumuni gan ..kama ni biashara endelea kulisha tena lisha vizur ukiwajazia tope utasubir sana mpaka wakue
Wakuu leo nimeshangaa hapa home kuna jirani alikuwa amechimba kisima cha chemchem baada ya kukitumia miezi kadhaa akakifukia yapita sasa mwaka akaamua kufukua kakutana na masamaki ya kambale hivi imekaaje wakuu kambale wanaweza kuzaliana bila kupandikiza vifaranga tena kakuta kambale mkubwa na kitoto
Alafu catfish ni nini?Yep kwa Kambale ule ni sawa na pilau yake. Kwa kiingereza, Kambale anaitwa a river janitor, yaani msafishaji wa uchafu wote wa majini, mizoga, vinyesi vya wanyama, yaani kila kitu kwa Kambale ni poa tu.
Huyo si Kambale ndugu...huyo ni Kamongo .kambale anaitwa catfish
Mzee mwenzangu, ukimchunguza bata humli.makaveli10 njoo sasa uone wale viumbe wakoπππ
Ndiyo huyo huyo, river janitor ni jina la utani kama vile ataniwavyo kunguru wa Zenj kuwa bwana afya wakati havai uniform na wala hapimi watu magonjwaAlafu catfish ni nini?