realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Ukuaji wa Teknolojia ni Mzuri kama ukitumika vizuri. Kwa nini nimeleta hoja hii kwenu?
Unakuta wazazi wote wanachart karibu siku nzima watoto wanaolelewa humo ndani wanabaki kuzunguka zunguka tu. Mama hajali kuhusu watoto wala Baba labda akilia kidogo ndio washtuke kuangalia nini kimetokea.
Dada wa kazi nae anambembeleza mtoto huku akiwa na simu yake Mkononi. Mtoto anakuwa Mpweke kutwa nzima ama nae awekewe katuni. Wazazi tuamke kwa kuweka kipaumbele katika malezi kwanza.vingine baadae.
Zungumza na watoto wako kaa karibu nao,wasikilize na uwape muongozo wa maisha.
Unakuta wazazi wote wanachart karibu siku nzima watoto wanaolelewa humo ndani wanabaki kuzunguka zunguka tu. Mama hajali kuhusu watoto wala Baba labda akilia kidogo ndio washtuke kuangalia nini kimetokea.
Dada wa kazi nae anambembeleza mtoto huku akiwa na simu yake Mkononi. Mtoto anakuwa Mpweke kutwa nzima ama nae awekewe katuni. Wazazi tuamke kwa kuweka kipaumbele katika malezi kwanza.vingine baadae.
Zungumza na watoto wako kaa karibu nao,wasikilize na uwape muongozo wa maisha.