Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Uhuru wa kujieleza na kutoa Maoni Mtandaoni unapokosena huathiri jamii nzima kwa kuzuia upatikanaji na usambazwaji wa Taarifa Muhimu.
Ni kikwazo kikubwa katika kujenga jamii inayoendana na kasi ya ukuaji wa Teknolojia Habari na Mawasiliano Duniani.
Uhuru huu unapaswa kutambuliwa na kulindwa kwa Sheria ili kuondoa vikwazo kwa wananchi katika kuufurahia.
Hata hivyo, mazingira ya uwazi kwenye majukwaa ya mtandaoni katika maeneo kama vile upimaji wa yaliyomo yanapaswa kuwepo wakati haki za binadamu na sheria za uhuru wa maoni wa kimataifa zikidumishwa.
Ni kikwazo kikubwa katika kujenga jamii inayoendana na kasi ya ukuaji wa Teknolojia Habari na Mawasiliano Duniani.
Uhuru huu unapaswa kutambuliwa na kulindwa kwa Sheria ili kuondoa vikwazo kwa wananchi katika kuufurahia.
Hata hivyo, mazingira ya uwazi kwenye majukwaa ya mtandaoni katika maeneo kama vile upimaji wa yaliyomo yanapaswa kuwepo wakati haki za binadamu na sheria za uhuru wa maoni wa kimataifa zikidumishwa.