UKubwa huu wa banda unaingia kuku wangapi??? na ushauri mwingine

UKubwa huu wa banda unaingia kuku wangapi??? na ushauri mwingine

g4cool

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
429
Reaction score
206
halo wandugu, baada ya kupitia makala nyingi nimeona na mii naweza kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa
nimeplan kujenga mabanda mawili ya urefu wa futi 20 na upana wa futi 16. moja kwa ajili ya kuku wa kienyeji na moja kwa ajili ya kuku wa kisasa wa nyama. sasa maswali yangu ni
1. kwa ukubwa huo ninaweza kuweka kuku wangapi? (kwa wakisasa na wa kienyeji, PLEASE USIGEUZE UREFU HUO KWENDA KWENYE MITA, UTANICHANGANYA)
2. Je kuku wa kisasa na wakienyeji, mabanda yao yakae mbali mbali wa kiasi gani? (je nikiyajenga kama L itakuwa ni shida?)
3. je solar panel ya ukubwa gani itanifaa kwa mradi huu?? kwani sehemu mradi nitakapouweka hakuna umeme
ahsanteni
 
Mkuu kuna mahali nilisoma wajasema mita moja ya mraba kwa kuku kumi ja mbili wa kienyeji ni reasonable. Mita moja ni sawa na futi tatu na point kama mbili. Google for metric conversion
 
umenifurahisha uliposema tusigeuze futi kwenda kwenye mita......kiongozi hutaki kujifunza?
pitia post nyingi umu ndani zaelezea vipimo vyake na feeding scales
 
Back
Top Bottom