BATULUNGE
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 391
- 633
Wataalam naombe mnijuze ni kwann Suzuki carry yenye cc650 inatumia Lita 1kwa km14-16 , wakati huohuo ist yenye engine cc1500+ inatumia petrol Lita 1 kwa km 19-20?.
Mwanzo nilivyojua mm ni kwamba kadri ukubwa wa engine unapoongezeka ndivyo gari inavyokula zaidi mafuta.
Mwanzo nilivyojua mm ni kwamba kadri ukubwa wa engine unapoongezeka ndivyo gari inavyokula zaidi mafuta.