ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Najua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents kama Jason Derulo & Chris Brown ambao kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa karibia tu.
Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))
Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?
Karibuni.
Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))
Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?
Karibuni.