Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Naona Tangazo limepata wachangiaji wengi na hapa ndio namkumbuka faiza foxy aliposema WAJINGA NDIO WALIWAO

Swali la kizushi, kwani huyo bibi apigagi deki maana nasikia wakipiga deki si yanasimama

Hapo dawa kumtafuta yule bibi muwe mna mlipa kila mkitaka kupiga gemu mnampigisha deki ili isimame kwi kwi kwi
 
Jaribu kwenda Handeni mkoani Tanga maana nako kuna waganga wa matatizo kama hayo....japokuwa siwez kujua uzito wao kwa kwa suala hili lakin uzur wao ni kwamba huwa wanapima kwanza kabla ya kushuhulika (kama inawezekana au la ),sio kwenda kichwa kichwa mwishowe hufa.

ila nmepata fundisho apo kwenye condom..
 
Unamuonea wivu utadhani ulimzaa wewe.Mkuyenge wake na **** ni yako nini kusumbuana.Kwani wewe ulibikiriwa na yeye?.
Ulichokifanya hukumu yake utaipata hapa hapa duniani.
 
Basi siingii peku, labda kwa mke wangu wa ndoa
Hahhaaa huyo mkeo ndo hatari kabisa....mkimaliza tendo anaingia bafuni kugema zake na zako zinakuwa zimechanganyika, then akichukua kipande cha Sanda kilichobakia akapakaza mabao yenu halafu akakichoma na mshumaa HUTOKUJA KUMUACHA KWA SABABU YEYOTE ILE.
 
Basi ndo maana ndoa sio kitu cha kukurupukia, na sio cha mchezo mchezo
 
Damu uliyomwaga haitaacha kukurudia!!!!



Mpe pole zangu za dhati mwanaume mwenzengu aliyeponzwa nakupenda.
 
Kama ni kweli basi ww ni pumbavu tu. Kama sio kweli ww ni pumbavu pia
 
PLE SANA KWA YALIYO KUKUTA......BABU YANGU NI TEKELO LKN NAMI NAOGOPA KUMPOTEZA ILA BAADA YA KUMSOMEA HAYA AJIPIME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…