Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

mimi naweza kukusaidia kama ni kweli una hilo tatizo lakini kwa sharti 1.
sitahitaji hata cent tano yako bali nitachokihitaji kwako ni mumeo na wewe mje kwangu tuyaongee na ukiri kwa uliyoyafanya mmeo akikusamehe naweza kukutegea huo ni mtego unaitwa calibalash hutumika sana na watu wa misitu ya moba nitafute pm
ahsante
 
Lakini mungu yupo kila lenye mwanzo halikosi kua na mwisho- ubarikiwe sana Dada uliye Fanya uonevu mkubwa kiasi hicho kwa mtoto wa mwanamke mwenzio
 
Ila usijali nawe ipo siku yako utalia na kusaga meno
 
Vijana mnaopenda kitonga stukeni jinamke limekuzidi 10yrs bado linakuja kukuloga jamani vijana wa sasahivi mko kwenye hatari kweli bure itawatokea puani. Huyu mtunzi hadithi yake inamafundisho hasa kwa vijana wapenda kuolewa maana mlezi wa wana hana jipya zaidi yakuwaza maumbile makubwa ya mwana.
Huyo mganga anajua kurusha matangazo ila watu hawadanganyiki kwakweli hili tangazo plz jf msiache kulichaji
 
Aiseee kweli wajinga ndiyo waliwao. Promo ya kufa mtu hii. Ukitoka kifungoni uje tuongee nikupe mawaidha.
 
Ni kweli hii ??? Mmmh. Mbona kama story ya kutunga. Lakini jibu ni kwamba mganga aliemfunga ndiyo mganga pekee anayeweza kumfungua tena. Aidha, wewe ndiyo chanzo cha haya yote, kwa hiyo endelea kuvuna tu ulichopanda.

Wahenga walisema hivi "hutakiwi kufanya maamuzi yoyote hasa ukiwa na hasira" lakini pia "hutakiwi kutoa ahadi yoyote kwa mtu yoyote wakati ukiwa na furaha iliyopitiliza"...
 
Aisee inasikitisha sana. Ni kweli wanawake wengi hutenda papo hapo ndo badae waanze kujutia. Inabidi muelimike sasa. Inabidi sasa hapo kila siku msali usiku masaa yasiyopungua manne angalau kwa siku 40. Mpate visomo none stop maana hakuna uchawi unaomshinda Allah. Km ni mkristo basi ni kukesha tu na maombi. Yawe intensive sana maana hiyo ni vita Kali sana. Kule akiona mnamtikisa ataleta mashambulizi mkate tamaa. Msiende kwa waganga kabisa. ILA muanze na kuomba msamaha kila mnapoanza DUA. Kila la kheri
 
ukoka ki ukweli ,ukweli usiende kupata tiba ukiona bado uondoke usifanye hvo, nenda kwenye makanisa ya kilokole/kipentecoste
 
Hiyo story utawapata wajinga kiwango cha polepole,muda uliotumia kuadikwa utumbo huu heri ungeenda kutoa gundu inaonekana wanaume hawakutaki
 
Yaani unavyoelezea hizi hatua uenda ww ni mganga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…