Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Katika hatua zote hizo hukustuka mapema ukaingiwa na roho ya huruma hadi mambo yashaharibika ndo unajifanya kustuka hufai msiktini,kanisani wala kwenye jamii.Wanaume nao wa dar kwa kupenda kitonga ndo matokeo yake.Miaka 26 wafungaje ndoa na mwanamk miaka 36
 
Kwamba hakna mganga mwingne duniani wa kufungua!huo uganga ww umeupatia wapi ambako wenzio hawawezifika au ww ndo shetani mwenyew?
 
Waungwana kile ile habari ambayo imetrend juzikati hapa kuwa "kuna watu wananunua condom zilizotumika zikiwa na mzigo ndani" imeishia wapi? Maana hizi vitu kama zinashabihiana hivi. Isijekuwa kuongezeka kwa mahanithi Tanzania kunatokana na used condoms! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Yule duniani lakini kwake ni mwiko mkubwa sana kumfungua kichawi mtu ambae amemfunga mwenyewe na kwamba akimfunga mtu hawezi kufunguliwa sehemu yoyote ile na atakae jaribu kufanya hivyo atakufa


Strong password
 
Poleh sana dada japo ulijichanganya kwa kutokujua.....njoo pm nikuelekeze mahala huenda ukasaidika..
 
I need to help
Nataka nikusaidie Ila Kama hujacopy sehemu..... Nihakikishie pia kuwa utarudi humu kutoa ushuhuda..... Ni Jambo jepesi Sana kwa waganga haliwezekani mpaka matiti ya yule Bibi yasimame Ila kwa namna ntakatokusaidia ni jepesi sana
 
Katika nchi za Africa ni mara mia kuowa mwanamke mfanyakazi au mke wa nyumbani kuliko mke mfanyabiashara, mara nyingi mfanyabiashara anakumbana na changamoto nyingi sana na yeye uangalia faida tu, uzinzi, ulozi hili biashara iende kwake ni vitu vya kawaida. Hata kuuwa mume hili arithi mahari ni jambo la kawaida.
 
Thibitisha hii si hadithi.
 
Mimi huwa nabeba kwenye mfuko. Natupa mbele ya safari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…