Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

MPELEKE KWA WATUMISHI WA MUNGU MUELEZE SCENARIO YOTE MAANA HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA MUNGU.

KINACHOHITAJIKA HAPO NI MAOMBI YA TOBA NA KUOMBA REHEMA ZA MUNGU ILI KUVUNJA HUO UHALALI; AMBAO WEWE ULIMPA ADUI DHIDI YA HUYO UNAEMUITA MUMEO.

HAPO HAKUNA KUKEMEA MAPEPO NA WALA IBILISI HAHUSIKI. WEWE NDO MHUSIKA MKUU.
 
tangu mwaka 2018 hajakua online huyu dada sijui mama..
 
Kama nawaona vile wateja pm,usiwaonee huruma piga tu.
 
Yani unazikumbuka prosess zote za mganga...shtukeni jamaniiiiii.
 
Inafaa kuchukua card kwenye Kamati ya roho mbaya
Nalog off
 
Kuteseka kote huku kisa wivu wa msonobali tu ...khaaa mwanake wewe ni zaidi ya shetani
 
Duh! Wivu ni mzuri kwenye penzi lakini wivu ULIOPITILIZA ni mbaya sana.

 
Wanawake rangi yao ndo iyo apo,anyway kama ni kweli basi ulikosea sana sana sana ila pole kwake mumeo,uyo mganga ni nyoko na ni mchawi kabisa
 
Tuma pesa kwa namba hii jina linatokea ..........
Watu tuwe makini nauona utapeli kwa mbaali na hii siyo kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi promo za hovyo sana peleka kwa wajinga wenzio
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Ndo maana nasemaga mtu unamloga mtu.alafu anakuwa mzigo. Kwako..... unatengeneza tatizo alafu ....unaanza hangaika Tena Kutafuta solution... Kipepeo wa chuma1

Ndo watu kwa wivu na hasad..huroga ndungu zao waishiwe hela wawe Masikini....wanasahau kuwa Hela za yule ndungu ziliwasaidia na wao.... Akifilisika wanajuta hawana pakuomba chumvi tena
 
Mwanamke ninakulaani!! Uliulizwa na mganga mara nyingi kuhusu dhamira yako ukashikilia bango!! Unajua uchawi ni silaha isiyokuwa na huruma! One madhambi uliyofanya!
 
Kumwambia ukweli hapana.. Mimi nataka nipate msaada arudi katika hali yake ya kawaida. Ila nashukuru sana kwa ushauri wako
Kama una mtonyo wa kutosha njoo pm nikuunganishe na fundi hyo kazi ndogo sana
 
Kuna mganga noma sana anaitwa marasta mwanza mchek nenda youtube serch davistar mata amefanya mahojiano naye nanamba zake zipo yupo vizuri kwakwel
 
Mkuu una experience na hiyo kitu ? Tupo tayari kufanya chochote kama unamjua mtalaamu wa uhakika please ni pm. Nipo tayari kutoa chochote. Ila awe wa uhakika kweli kweli maana akiwa mwepesi mwepesi anaweza kwenda na maji..
Mkuu wewe ni me au ke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…