version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
kama na ww upo kwenye hili..((allocated by tcu+course wasnt your choice+haina bumu+ni ngumu..am mean tango+ada kubwa(especialy tuliotupwa IFM frm st.kayumba)+home hakieleweki+kuchoka kitaa+____#))fanya tukutane v
V
HAPAAAA!
mkuu watafute hapa 0712722684 uelekezwe jinsi ya kukohakiki ulipochaguliwa!! jus di it man!kama na ww upo kwenye hili..((allocated by tcu+course wasnt your choice+haina bumu+ni ngumu..am mean tango+ada kubwa(especialy tuliotupwa IFM frm st.kayumba)+home hakieleweki+kuchoka kitaa+____#))fanya tukutane v
V
HAPAAAA!
mkuu watafute hapa 0712722684 uelekezwe jinsi ya kukohakiki ulipochaguliwa!! jus di it man!
Maelezo mbona yamekamilika mkuu umeambiwa ulogin kwenye account yako alafu ufanye uchaguzi upya na program utakazo tumia ni zile zenye available slots zilishakua listed...fanya hivyo mkuu baadae usije kuanza kulalama tena...
don't mislead - pale ni orodha ya majina tu bila hayo unayoeleza. Hawasemi feedback uipeleke wapi ambako utapata jibu la haraka - TIME IS BAD!!!
Hayo maelezo yapo wewe...kidhungu shida eeh..!